AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
- Thread starter
- #41
Partner asante kwa thread nzuri...mengi ambayo ningesema naona waliotangulia wameshaniwahi.
Nnachoweza kuongezea ni kwamba though kwa kiasi flani uko sahihi wakaka wataanza kuwa‘lebell‘ wadada kitabia kwa kutumia umri.Kitu ambacho sio kizuri maana sio wote unaoweza kugundua atakua katika stage gani ya maisha kwa kutambua umri wake.Alafu nasema huku mwenyewe hua nafanya hivyo kwa wakaka na wadada nnaotokea kuanza urafiki nao...i should probably change and tryanna get to know ‘em before saying ‘naaah he/she is too mature‘ maana hata wadada naprefer walio zaidi ya 25.Ila wakati huo huo wapo wasichana wadogo ambao experience za maisha zimewakuza zaidi ya umri walio nao.Kwahiyo enyi wakaka
mnaoogopa sijui wanawake wa Darisalamu na kusema walio under 28 hawajamature bado jaribuni kuwajua wao kama wao ni watu wa aina gani.Ndio wapo wa chache but who knows...labda na wewe utakua mmoja kati ya walio na bahati ya kukutana na hawa wachache waliokomaa kiakili wakati
mwingine hata zaidi ya wakubwa zao!!!
That is why nilisema needed your brain hapa.. Kwa kiasi kikubwa uloongea ni kweli Lizzy..
Ndo maana mimi narudi na msemo wangu ule ule wa tatizo la kufall for the same type of ladies...