Hello!wana jf habari?Hii jumuia ya kuhudumia watu wenye ulemavu wa ngozi walitangaza nafasi za kazi nami ni mmoja wa walioomba nafasi hizo ambazo deadline ilikuwa tar 10 january,sasa naona kimya hadi leo,kuna mwenye info zaidi?naomba anijuze kwa niaba ya wote walioomba hapo.naomba kuwasilisha hoja jamvini,hoping to hear from you guys