gbrother
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 408
- 51
Kuna taasisi iliyoanzishwa kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wanafunzi wa chuo, inaitwa HIGHER LEARNING STUDENT SUPPORTING FUND, hivi inatambulika kisheria na iko chini ya nani? Naofia ya deci na kina malingumu yasijetokea then baadaye watu wakilia ndio tushituke.
MSAADA WANAINTELLIJENSIA
MSAADA WANAINTELLIJENSIA