Unconditional Love ❤ Mapenzi ya kweli

Tuongee ukweli jamani. Pesa inanafasi yake. Kama huna pesa ya kumtoa out baby wako atakuwa bored tu. Fikila mnaambiana I love you bila ya pesa. Mtaishia tu kuwa visilani
 
Umeongea vyema sana unafanya mada iwe thrilling,nimependa
Sikupingi hata kidogo kwa suala hilo la heshima.nachozungumza mimi ni kuwa "kama vile upikavyo mboga kunakua na viungo vya aina nyingi ili kukamilisha pishi zuri" basi ndoa au mahusiano bora huitaji nguzo zaidi ya moja kudumu muda mrefu zaidi(kudumu ndio key factor),hivyo heshima ni ingredient kubwa zaidi kama ilivyo chumvi kwenye mboga.
NB ; napenda unavyojenga hoja vizuri,it's nice sharing with you mkuu

Good Neighbour
Iko hivi nimewah kuwaza sana kuhusu mahusiano na kunifanya nitaman kuona mahusiano yanadumu.

Nilichofanya wengi sana hasa vijana wa siku hizi hupenda sana tena sana lkn wakasahau kwamba ghrama za upendo si show offs, sio material things, sio urembo ama utanashati bali ni vitu ambavyo havishikiki wala havionekani kwa macho.

Tena ni vile vitu ambavyo vinaongozwa zaidi na itash kuliko mihemko ama hisia.

Siku zote nasema upendo hukaaa moyoni, na moyo ni mdanganyifu mnake hauna utashi wa kupambanua mambo. Hivyo ni kosa sana kupenda kwa moyo. Manake ukikosewa kidogo tuu moyo hujaa maumivu tena yaliyobeba. Moyo huu huvuja damu na wala hauwez kupambanua.

Penda kwa akili. Akili unao utashi itakuonyesha what to take and what to ignore. Hata pawe na kosa ama jaribu mlima kwenye mahusiano yako akili italipambanua na kisha kukupa best solution out of many choices.

Akili haivujagi damu, akili hutanguliza priorities, akili hukupa alternatives akili inakilupa solution and ways to do things.

Ukipenda kwa akili, cha kwanza itakuambia heshima manake inajua mahusiano yenye nguvu yamejemgwa kwenye heshima kwanza na heshima hii ni kwenye Kila kitu.

Ukiwa na heshima. Utajua muda gani ni wa mm na.mwenzangu na muda gani ni wa mm kama mm. Nikiwa na mwenzangu nifanye yepi na nikiwa alone nifanye yepi. Hapa nina mdogo wa mume nifanye lipi sahihi na hapa Pana Jiran nitende lipi kwa heshima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iko hivi nimewah kuwaza sana kuhusu mahusiano na kunifanya nitaman kuona mahusiano yanadumu.

Nilichofanya wengi sana hasa vijana wa siku hizi hupenda sana tena sana lkn wakasahau kwamba ghrama za upendo si show offs, sio material things, sio urembo ama utanashati bali ni vitu ambavyo havishikiki wala havionekani kwa macho.

Tena ni vile vitu ambavyo vinaongozwa zaidi na itash kuliko mihemko ama hisia.

Siku zote nasema upendo hukaaa moyoni, na moyo ni mdanganyifu mnake hauna utashi wa kupambanua mambo. Hivyo ni kosa sana kupenda kwa moyo. Manake ukikosewa kidogo tuu moyo hujaa maumivu tena yaliyobeba. Moyo huu huvuja damu na wala hauwez kupambanua.

Penda kwa akili. Akili unao utashi itakuonyesha what to take and what to ignore. Hata pawe na kosa ama jaribu mlima kwenye mahusiano yako akili italipambanua na kisha kukupa best solution out of many choices.

Akili haivujagi damu, akili hutanguliza priorities, akili hukupa alternatives akili inakilupa solution and ways to do things.

Ukipenda kwa akili, cha kwanza itakuambia heshima manake inajua mahusiano yenye nguvu yamejemgwa kwenye heshima kwanza na heshima hii ni kwenye Kila kitu.

Ukiwa na heshima. Utajua muda gani ni wa mm na.mwenzangu na muda gani ni wa mm kama mm. Nikiwa na mwenzangu nifanye yepi na nikiwa alone nifanye yepi. Hapa nina mdogo wa mume nifanye lipi sahihi na hapa Pana Jiran nitende lipi kwa heshima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Still Thrilling Gfsonwin
Malezi(narture) na makuzi yanamchango mkubwa natika kujenga akili na heshima unazozizungumzia."hujaona vijana wengi wa siku hizi(90's) wanavijitabia ambavyo viko tofauti sana na 60's,70's,80's?but still ukimuuliza ye anaona yuko sawa.niko na wewe same side katika mambo unayozungumza,nakuja PM Tuendeleze mada

Good Neighbour
 
Kote huko sawa ila hapo pa kutumia muda mwingi kumjua , ndio shida maana wengine wanatumia saa kumjua
 
Still Thrilling Gfsonwin
Malezi(narture) na makuzi yanamchango mkubwa natika kujenga akili na heshima unazozizungumzia."hujaona vijana wengi wa siku hizi(90's) wanavijitabia ambavyo viko tofauti sana na 60's,70's,80's?but still ukimuuliza ye anaona yuko sawa.niko na wewe same side katika mambo unayozungumza,nakuja PM Tuendeleze mada

Good Neighbour
Nakubaliana sana na ww kwamba malezi yanamchango sana katk kujenga nidhamu.

Lakin pia kuna swala Zima la mazingira yanayotuzunguka na aina ya mifano tunayokutana nayo.

Lkn kuna jambo kubwa zaidi ya yote ambalo lenyewe husimama na kusawazisha yale ambayo malezi ya wazazi na mazingira yalikosea nalo ni swala la dini.

Vijana wa siku hizi wakasahau mafundisho ya dini. Wanajiamericanize sanaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubaliana sana na ww kwamba malezi yanamchango sana katk kujenga nidhamu.

Lakin pia kuna swala Zima la mazingira yanayotuzunguka na aina ya mifano tunayokutana nayo.

Lkn kuna jambo kubwa zaidi ya yote ambalo lenyewe husimama na kusawazisha yale ambayo malezi ya wazazi na mazingira yalikosea nalo ni swala la dini.

Vijana wa siku hizi wakasahau mafundisho ya dini. Wanajiamericanize sanaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Still uko upande wangu,mazingira niyemataja kama makuzi kwenye maelezo yangu.apo ulipoweka dini ndo kwenye msumari,pazuri apo
Njoo PM

Good Neighbour
 
View attachment 558343Moja ya nguzo muhimu na bora ya mahusiano ni kumjua mwenza wako vyema na kuwa waaminifu katika mapenzi na kuwa wawaazi kwa kila jambo.

Wazungu wanamsemo wao unaosema,''Trust means everything, but once it's broken sorry means nothing.'' Uaminifu ndio nguzo thabiti ya mapenzi bora zingatia sana hili.

Ni kazi rahisi sana kumuita mpenzi wako ''SoulMate'' lakini kiuhalisia ukawa umefanya kosa kubwa sana sababu neno haliendani na uhalisia wa ''SoulMate'' wako.

Je unajua, size ya kiatu cha Sweetypie wako? Je unajua team anayoshabikia brown Sugar wako? Je unajua kinywaji anachokipenda mume wako? Je unajua kitu ambacho hakipendi kabisa mpenzi wako? Je unajua karama ya mwenza wako nje ya kazi/biashara anayoifanya mpenzi wako? Je unajua rangi anayopenda mke wako? Je unajua Perfume anayopenda mke wako?

Mapenzi ya dhati yana maswali yake,nidhamu yake ,uwajibajikaji wake:kumjua vyema mpenzi wako ni jambo zuri sana ambalo linawasadia wapenzi kuwa na chemistry nzuri na kuwa marafiki wazuri .

Hii husaidia sana hata changamoto zikitokea kumalizana wenyewe pasipo kupeleka kwenye makundi ya Mashosti WhatsApp.Na kuomba ushauri kwa watu wasiotunza siri za matatizo yenu ya ndoa/mahusiano yenu.

Jitahidi kumjua mwanaume/mwanamke kabla haujaanzisha mahusiano naye kwa undani zaidi : tumia siku nyingi kumjua mpenzi wako kwa maswali matamu na yenye tija na siku moja kumkabidhi moyo wako.

Mwanamke hujisikia vyema sana apewapo maneno matamu na mume/mpenzi wake huku yakisindikizwa na sifa bora na stahiki:Mwanaume hupata faraja awapo na mwanamke wake peke yake mwenye kumjali mumewe kwa maneno na matendo.There are 4 steps to happiness: 1. you, 2. me, 3. our hearts, 4. together #UnconditionalLove❣️❣️❣️



Sent using Jamii Forums mobile app
Mim siumizwi wala kujali mapnzi jombaaaaaaa,,,mim naumizwa na helaa(mulaaaa)

Ni miMi CHalIIiiii Ya "R"
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom