Unconditional Love ❤ Mapenzi ya kweli

Unconditional Love ❤ Mapenzi ya kweli

Huko kujuana ndo vipi eti, maana mijitu inaficha hali zao halisi hadi unapoingia mkenge ndo anafichua makucha, acha tu tukomae na hali zetu unconditional love haipogo siku izi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha,singida girl

Good Neighbour

View attachment 558343Moja ya nguzo muhimu na bora ya mahusiano ni kumjua mwenza wako vyema na kuwa waaminifu katika mapenzi na kuwa wawaazi kwa kila jambo.

Wazungu wanamsemo wao unaosema,''Trust means everything, but once it's broken sorry means nothing.'' Uaminifu ndio nguzo thabiti ya mapenzi bora zingatia sana hili.

Ni kazi rahisi sana kumuita mpenzi wako ''SoulMate'' lakini kiuhalisia ukawa umefanya kosa kubwa sana sababu neno haliendani na uhalisia wa ''SoulMate'' wako.

Je unajua, size ya kiatu cha Sweetypie wako? Je unajua team anayoshabikia brown Sugar wako? Je unajua kinywaji anachokipenda mume wako? Je unajua kitu ambacho hakipendi kabisa mpenzi wako? Je unajua karama ya mwenza wako nje ya kazi/biashara anayoifanya mpenzi wako? Je unajua rangi anayopenda mke wako? Je unajua Perfume anayopenda mke wako?

Mapenzi ya dhati yana maswali yake,nidhamu yake ,uwajibajikaji wake:kumjua vyema mpenzi wako ni jambo zuri sana ambalo linawasadia wapenzi kuwa na chemistry nzuri na kuwa marafiki wazuri .

Hii husaidia sana hata changamoto zikitokea kumalizana wenyewe pasipo kupeleka kwenye makundi ya Mashosti WhatsApp.Na kuomba ushauri kwa watu wasiotunza siri za matatizo yenu ya ndoa/mahusiano yenu.

Jitahidi kumjua mwanaume/mwanamke kabla haujaanzisha mahusiano naye kwa undani zaidi : tumia siku nyingi kumjua mpenzi wako kwa maswali matamu na yenye tija na siku moja kumkabidhi moyo wako.

Mwanamke hujisikia vyema sana apewapo maneno matamu na mume/mpenzi wake huku yakisindikizwa na sifa bora na stahiki:Mwanaume hupata faraja awapo na mwanamke wake peke yake mwenye kumjali mumewe kwa maneno na matendo.There are 4 steps to happiness: 1. you, 2. me, 3. our hearts, 4. together #UnconditionalLove❣️❣️❣️



Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unconditional Love kwenye vitabu vya dini hata Mungu ilimshinda.

Sema jingine.

Sent from my Kimulimuli
 
Unconditional Love kwenye vitabu vya dini hata Mungu ilimshinda.

Sema jingine.

Sent from my Kimulimuli
Kuhukumu???

Hahaha, ila wengine wanakuambia hiyo ni unconditional love.
 
Kuhukumu???

Hahaha, ila wengine wanakuambia hiyo ni unconditional love.
Anything that exists in time is conditioned by the second law of thermodynamics, that is, entropy increase, that is, decay and disintegration due to time.

In other words, as long as something exists in time, it is conditional.

"Unconditional Love" is a lazy expression of the hippie culture and its parent of mysterious mysticism that penetrated undiscerning minds that are yearning for meaning in an increasingly volatile and dispersed world.

You dig?

Sent from my Kimulimuli
 
Wengine hawakuangalia hizo soulmate wala perfume wala time.nk na wanaishi maisha ya upendo na amani.

As for me hayo ni mapenzi ya kinadharia sanaaa.

Mapenzi ya dhati yamejengwa katika msingi wa heshima, uvumilivu, ywajibikaji na mwisho ndio upendo wenyewe.

Siku zote nimekua napingana sana na watu wanaodhani kwamba upendo ndiyo yanatangulia. Mie nasema hivi kinachotangulia ni heshima, ikafuatwa na uvumilivu kisha uwajibikaji na mwisho ndio upendo.

Ukiheshimu hutafanya makosa ya kukusaidia na pia utakuwa ba woga wa kuumizwa.

Ukivumilia hapa hutaendeshwa na moyo bali na akili hasa katika makosa ambayo mwenzako atayafanya. Moyo siku zote ni.mdanganilyifu. ila akili hukupa kuamua kwa hekima.

Ukiwajibika utawajibika kama mwenza kwenye Kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anything that exists in time is conditioned by the second law of thermodynamics, that is, entropy increase, that is, decay and disintegration due to time.

In other words, as long as something exists in time, it is conditional.

"Unconditional Love" is a lazy expression of the hippie culture and its parent of mysterious mysticism that penetrated undiscerning minds that are yearning for meaning in an increasingly volatile and dispersed world.

You dig?

Sent from my Kimulimuli

Despotically, I real dig a heavy rock.

Likewise "Unconditional love" is a laziness appetency in love realm and its "Daruru" syndromes to those who endeavor it.
 
Wengine hawakuangalia hizo soulmate wala perfume wala time.nk na wanaishi maisha ya upendo na amani.

As for me hayo ni mapenzi ya kinadharia sanaaa.

Mapenzi ya dhati yamejengwa katika msingi wa heshima, uvumilivu, ywajibikaji na mwisho ndio upendo wenyewe.

Siku zote nimekua napingana sana na watu wanaodhani kwamba upendo ndiyo yanatangulia. Mie nasema hivi kinachotangulia ni heshima, ikafuatwa na uvumilivu kisha uwajibikaji na mwisho ndio upendo.

Ukiheshimu hutafanya makosa ya kukusaidia na pia utakuwa ba woga wa kuumizwa.

Ukivumilia hapa hutaendeshwa na moyo bali na akili hasa katika makosa ambayo mwenzako atayafanya. Moyo siku zote ni.mdanganilyifu. ila akili hukupa kuamua kwa hekima.

Ukiwajibika utawajibika kama mwenza kwenye Kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maelezo yako heshima ndo elementary reason inayopelekea love,au nimekosea? "Somehow true,ila sidhani kama ina work to every relation that exists".Heshima ni kiungo kizuri cha kuboresha na kudumisha uhusiano
Otherwise nimekuelewa

Good Neighbour
 
Kwa maelezo yako heshima ndo elementary reason inayopelekea love,au nimekosea? "Somehow true,ila sidhani kama ina work to every relation that exists".Heshima ni kiungo kizuri cha kuboresha na kudumisha uhusiano
Otherwise nimekuelewa

Good Neighbour
Blv me mtu asiyeheshimu hawez kupenda hata kidogo. Unless uwe unayaongelea mapenz ya bongo movie.

Mapenz ya kuish as Mr& mrs lazima heshima itangulie vyote. Heshima hii itaanzia kwako binafsi as utajiheshimu, huta vaa Nguo zenye mikato ya ajabu, hutapiga picha za hovyo, hutaanza kukata mauno hovyo nk. Na hapo ukifaulu utaenda kwenye kumheshimu mwenzio na wale wanao wazunguka.

Ukitaka kuamini just be open and tell us siku ya kwanza mkeo kwenda kwenu yaan ukweni halafu akaamka kwa heshima akakoka moto akatenga chai kisha akawaandalia wazazi wako kwa heshima ulijiskiaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Blv me mtu asiyeheshimu hawez kupenda hata kidogo. Unless uwe unayaongelea mapenz ya bongo movie.

Mapenz ya kuish as Mr& mrs lazima heshima itangulie vyote. Heshima hii itaanzia kwako binafsi as utajiheshimu, huta vaa Nguo zenye mikato ya ajabu, hutapiga picha za hovyo, hutaanza kukata mauno hovyo nk. Na hapo ukifaulu utaenda kwenye kumheshimu mwenzio na wale wanao wazunguka.

Ukitaka kuamini just be open and tell us siku ya kwanza mkeo kwenda kwenu yaan ukweni halafu akaamka kwa heshima akakoka moto akatenga chai kisha akawaandalia wazazi wako kwa heshima ulijiskiaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea vyema sana unafanya mada iwe thrilling,nimependa
Sikupingi hata kidogo kwa suala hilo la heshima.nachozungumza mimi ni kuwa "kama vile upikavyo mboga kunakua na viungo vya aina nyingi ili kukamilisha pishi zuri" basi ndoa au mahusiano bora huitaji nguzo zaidi ya moja kudumu muda mrefu zaidi(kudumu ndio key factor),hivyo heshima ni ingredient kubwa zaidi kama ilivyo chumvi kwenye mboga.
NB ; napenda unavyojenga hoja vizuri,it's nice sharing with you mkuu

Good Neighbour
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom