Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,660
- 7,948
Shemeji ataanzishiwa uzi bure. Wacha iwe siri yetu mana kuna watu awashuhudii.
Kama wale wa siku ile.![]()
![]()
Asante, Shem.
Nimekusoma vyema sana.
Shemeji ataanzishiwa uzi bure. Wacha iwe siri yetu mana kuna watu awashuhudii.
Kama wale wa siku ile.![]()
![]()
Mke mwenza soul mate wangu si unamfahamu jamani!!Tuanze na wewe tutajie soul mate wako
Ewaaaa.Asante, Shem.
Nimekusoma vyema sana.
Ewaaaa.![]()
![]()
Usijali shemeji. Ila mwambie nam miss sana sana.
Mie simjui please niambie nani huyo mwenye bahati jomoniiiiii.....Mke mwenza soul mate wangu si unamfahamu jamani!!
Si yule naniliu.Mie simjui please niambie nani huyo mwenye bahati jomoniiiiii.....
Duhkusema sio tatizo
kazi ipo kwenye kutenda baba
we unafikiri walioko kwenye ndoa hayo hawayajui???????
ww ingia kwnye ndoa utaona mzk wake
sent from aifoni seveni plasi
People dont want to be practical.unconditional love that's too far a mile,even true love rarely existsprobably there is none....... i dont think if there is existence of what is known unconditional love.....
Exactly my thought....... binadamu tunapendana as long as kuna some conditions katikati yetu ambazo tutakubaliana/kuwekeana. Ukienda tu kinyume, nasepa zangu. Ila mzazi, hata uwe jambazi atakupenda tu, hatokususa na atasimama na wewe no matter what (ila kuna wazazi wachache wanawapenda watoto wao wenyewe with conditions, fulani anabaguliwa sad.)Hakuna kitu kama "unconditional love" toka kwa mpenzi. That kind of love unaipata kwa mama tu, only your mother can offer you unconditional love.
Salamu zimefika,
Siku tukiwa Tanga yetu, tutafika kukusabahi.
Haaaaaa haaaaaa haaaaaa, neno hilo (Ewaaaa) kaniambia dakika kama 30 zilizopita.

![]()
![]()
Haya bana shemeji uwe na siku njema
Sina cha kusema kwa kweliSay something
Good Neighbour
People dont want to be practical.unconditional love that's too far a mile,even true love rarely exists
Good Neighbour
Hehehheheeheheee love my .....Love on fleek
Good Neighbour