- Thread starter
- #21
Lakini la kushangaza ni kwamba, pamoja na kugawana fito hizo bado wanaendelea kujenga nyumba ile ile waliyomo; iwe mbovu au imara, hayo hayawahusu wao, mradi manufaa yanawafikia wao.Ukiona wazee wa chama wanatoka hadharani kujisifu juu ya yaliyomtokea mtangulizi,
Jua kuwa wameshagawana fito za nyumba Yao.