Unazifahamu fiwi? Umeshawahi kuzitumia?

Lokii

JF-Expert Member
Sep 23, 2016
709
2,084
Amani iwe kwenu wanabodi, Ni zaidi ya mwaka sasa natumia haya maharage wengine wanayaita fiwi.

Mwanzo nililetewa na rafiki yangu huwa anayatumia mda mrefu akanishauri na mimi nianze kuyatumia kwa kuwa yana faida sana kiafya na pia yana virutubisho vingi zaidi.

Sikuwahi kuzingatia faida yake zaidi kiafya mpaka siku nilipo google benefits zake na ndio ikawa mwanzo wa kuyatumia zaidi.

Kama utaamua ku google kwa kiingereza yanaitwa black turtle beans.
Nawaza kama watanzania tulio wengi tunafahamu faida za fiwi kiafya maana siyaoni sana mitaani yakitumika, rafiki yangu anayenileteaga huwa anayanunulia maeneo ya hedaru nahisi ndio yanalimwa zaidi sehemu hizo sifahamu sana.

Kuna jamaa yangu mkenya nilimuonyesha akaniambia kenya yapo sana sometimes yanatumika mpaka kutengenezea githeri (makande).

Kwa uchache faida za fiwi kiafya;

  • Hupunguza sumu mwilini
  • Zina protini nyingi zaidi
  • Huzuia matatizo ya moyo
  • Huzuia matatizo ya cancer
  • Zina faiba nyingi zaidi
  • Zinasaidia mmeng'enyo wa chakula
  • Zinaimarisha mfumo wa neva
  • Zinazuia ugumba kwa wanaume

Kiufupi naona haya ndio maharage yenye faida zaidi kiafya kuliko haya tunayokula sijui maharage mekundu au soya lakini nashidwa kuelewa kwanini hizi fiwi hazipatikani mitaani ama labda bado hatujaelewa umuhimu wake.

Wangapi mmeshawahi kula fiwi na mnadhani ni kwanini hayapo kwa wingi mitaani?

Natamani kufahamu pia fiwi zinalimwa maeneo gani mengine hapa tanzania. Hii inaweza ikawa ni fursa iliyojificha kwa wakulima na wafanyabiashara. Nawakilisha.

20220512_190033.jpg
 
Amani iwe kwenu wanabodi, Ni zaidi ya mwaka sasa natumia haya maharage wengine wanayaita fiwi.

Mwanzo nililetewa na rafiki yangu huwa anayatumia mda mrefu akanishauri na mimi nianze kuyatumia kwa kuwa yana faida sana kiafya na pia yana virutubisho vingi zaidi.

Sikuwahi kuzingatia faida yake zaidi kiafya mpaka siku nilipo google benefits zake na ndio ikawa mwanzo wa kuyatumia zaidi.

Kama utaamua ku google kwa kiingereza yanaitwa black turtle beans.
Nawaza kama watanzania tulio wengi tunafahamu faida za fiwi kiafya maana siyaoni sana mitaani yakitumika, rafiki yangu anayenileteaga huwa anayanunulia maeneo ya hedaru nahisi ndio yanalimwa zaidi sehemu hizo sifahamu sana.

Kuna jamaa yangu mkenya nilimuonyesha akaniambia kenya yapo sana sometimes yanatumika mpaka kutengenezea githeri (makande).

Kwa uchache faida za fiwi kiafya;

  • Hupunguza sumu mwilini
  • Zina protini nyingi zaidi
  • Huzuia matatizo ya moyo
  • Huzuia matatizo ya cancer
  • Zina faiba nyingi zaidi
  • Zinasaidia mmeng'enyo wa chakula
  • Zinaimarisha mfumo wa neva
  • Zinazuia ugumba kwa wanaume

Kiufupi naona haya ndio maharage yenye faida zaidi kiafya kuliko haya tunayokula sijui maharage mekundu au soya lakini nashidwa kuelewa kwanini hizi fiwi hazipatikani mitaani ama labda bado hatujaelewa umuhimu wake.

Wangapi mmeshawahi kula fiwi na mnadhani ni kwanini hayapo kwa wingi mitaani?

Natamani kufahamu pia fiwi zinalimwa maeneo gani mengine hapa tanzania. Hii inaweza ikawa ni fursa iliyojificha kwa wakulima na wafanyabiashara. Nawakilisha.

View attachment 2222822
Tumezila sana katika kijiji kiitwacho Malimogo, Kata ya Lengatei , Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara. Kijiji hicho (Malimogo)kipo umbali wa kilometa150 kutoka makao makuu ya Wilaya mji uitwao Kibaya barabara iendayo Sunya na wilaya ya Kilindi. Zao hilo linasitawi hata maeneo mengine ila changamoto inayowakabili walimaji wa zao hilo ni SOKO. Ni kutokana na kutokuwepo kwa soko lake kumepelekea wakulima wanachangamkia kilimo cha mazao mengine kama mahindi,mbaazi, Alizeti na maharage. Zao la fiwi wakati mwingine huwa ni cover crop kwenye shamba la mahindi.
Fiwi zaweza kupikwa na kuliwa zikiwa bado hazijakomaa/mbichi au zikiwa zimekomaa(nyeusi) kama zinavyoonekana kwenye picha ya mtoa uzi hapo juu.
 
Tumezila sana katika kijiji kiitwacho Malimogo, Kata ya Lengatei , Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara. Kijiji hicho (Malimogo)kipo umbali wa kilometa150 kutoka makao makuu ya Wilaya mji uitwao Kibaya barabara iendayo Sunya na wilaya ya Kilindi. Zao hilo linasitawi hata maeneo mengine ila changamoto inayowakabili walimaji wa zao hilo ni SOKO. Ni kutokana na kutokuwepo kwa soko lake kumepelekea wakulima wanachangamkia kilimo cha mazao mengine kama mahindi,mbaazi, Alizeti na maharage. Zao la fiwi wakati mwingine huwa ni cover crop kwenye shamba la mahindi.
Fiwi zaweza kupikwa na kuliwa zikiwa bado hazijakomaa/mbichi au zikiwa zimekomaa(nyeusi) kama zinavyoonekana kwenye picha ya mtoa uzi hapo juu.
Nadhani soko halipo kwasabu watu wengi/walaji bado hawazifahamu hizi fiwi. Uzuri mwengine wa fiwi ni kwamba hawa jamaa wa gmo bado hawajazifikia kulinganisha na mazao mengine hayo uliyotaja
 
Amani iwe kwenu wanabodi, Ni zaidi ya mwaka sasa natumia haya maharage wengine wanayaita fiwi.

Mwanzo nililetewa na rafiki yangu huwa anayatumia mda mrefu akanishauri na mimi nianze kuyatumia kwa kuwa yana faida sana kiafya na pia yana virutubisho vingi zaidi.

Sikuwahi kuzingatia faida yake zaidi kiafya mpaka siku nilipo google benefits zake na ndio ikawa mwanzo wa kuyatumia zaidi.

Kama utaamua ku google kwa kiingereza yanaitwa black turtle beans.
Nawaza kama watanzania tulio wengi tunafahamu faida za fiwi kiafya maana siyaoni sana mitaani yakitumika, rafiki yangu anayenileteaga huwa anayanunulia maeneo ya hedaru nahisi ndio yanalimwa zaidi sehemu hizo sifahamu sana.

Kuna jamaa yangu mkenya nilimuonyesha akaniambia kenya yapo sana sometimes yanatumika mpaka kutengenezea githeri (makande).

Kwa uchache faida za fiwi kiafya;

  • Hupunguza sumu mwilini
  • Zina protini nyingi zaidi
  • Huzuia matatizo ya moyo
  • Huzuia matatizo ya cancer
  • Zina faiba nyingi zaidi
  • Zinasaidia mmeng'enyo wa chakula
  • Zinaimarisha mfumo wa neva
  • Zinazuia ugumba kwa wanaume

Kiufupi naona haya ndio maharage yenye faida zaidi kiafya kuliko haya tunayokula sijui maharage mekundu au soya lakini nashidwa kuelewa kwanini hizi fiwi hazipatikani mitaani ama labda bado hatujaelewa umuhimu wake.

Wangapi mmeshawahi kula fiwi na mnadhani ni kwanini hayapo kwa wingi mitaani?

Natamani kufahamu pia fiwi zinalimwa maeneo gani mengine hapa tanzania. Hii inaweza ikawa ni fursa iliyojificha kwa wakulima na wafanyabiashara. Nawakilisha.

View attachment 2222822
Kama ulitumia kwa muda flani hukuona faida mpaka ulipoGoogle basi hayana faidia kihivyo.
 
Tatizo harufu yake kali wengine hawaipendi.
Mbichi nzuri zaidi.
Nilikula mara ya mwisho miaka zaidi ya 20.
 
Mara ya kwanza kuyala hayo maharage nikiwa kenya nilisema tanzania hakina ina utajiri wa vitu vingi sana, kiufupi hayo maharage sio kabisa bora haya yale maharage ya soya ya njano ndio unaeza itisha hata na chapat hotelini
 
Kama ulitumia kwa muda flani hukupna faida mpaka ulipoGoogle basi hayana faidia kihivyo.
Nilipo google niliongeza ufahamu zaidi wa hii kitu ndo mana nikaziweka kwenye list ya mlo wangu wa mara kwa mara au ulimaanisha nione impact ya muda mfupi mwilini kama nafanya workout au nimemeza pill?
 
Tumezila sana katika kijiji kiitwacho Malimogo, Kata ya Lengatei , Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara. Kijiji hicho (Malimogo)kipo umbali wa kilometa150 kutoka makao makuu ya Wilaya mji uitwao Kibaya barabara iendayo Sunya na wilaya ya Kilindi. Zao hilo linasitawi hata maeneo mengine ila changamoto inayowakabili walimaji wa zao hilo ni SOKO. Ni kutokana na kutokuwepo kwa soko lake kumepelekea wakulima wanachangamkia kilimo cha mazao mengine kama mahindi,mbaazi, Alizeti na maharage. Zao la fiwi wakati mwingine huwa ni cover crop kwenye shamba la mahindi.
Fiwi zaweza kupikwa na kuliwa zikiwa bado hazijakomaa/mbichi au zikiwa zimekomaa(nyeusi) kama zinavyoonekana kwenye picha ya mtoa uzi hapo juu.
Nawezaje kupata haya maharage. Mkuu
 
Tatizo harufu yake kali wengine hawaipendi.
Mbichi nzuri zaidi.
Nilikula mara ya mwisho miaka zaidi ya 20.
Kavu zikiungwa vizuri hazina harufu labda zichemshwe tu kama wakenya wafanyavyo
 
Mara ya kwanza kuyala hayo maharage nikiwa kenya nilisema tanzania hakina ina utajiri wa vitu vingi sana, kiufupi hayo maharage sio kabisa bora haya yale maharage ya soya ya njano ndio unaeza itisha hata na chapat hotelini
Offcourse sio matamu sana kama yale mekundu au ya soya lakini mkuu kwa upishi wa jirani zetu wakenya ulitegemea yanoge? Haha
 
Back
Top Bottom