Unazeeka jione hapa

Unazeeka jione hapa

Hahahaha miaka 7 iliyopita ni juzi juzi mkuu?? Au ulikuwa kwenye comma??
Kweli siku hazigandi nimejiunga JF juzi juzi tu hapo nikiwa na 23 yrs leo nipo 31.[emoji1438]‍[emoji3603]
 
Dah...miaka 83 sasa...kwa kifupi uzi haunihusu 🤣 🚶‍♂️🚶‍♂️
 
Kikubwa uzima,kama nitaishi mpaka angalau miaka 70+ nikiwa na afya timamu inatosha,hata kama nitakuwa sina kitu.kufa katika umri wa miaka kati ya 0-55 ndio kunanipa hofu sana bila kujali nina nini au sina nini.najiombea maisha marefu tu basi .
 
Nilipokuwa najiunga Jf wadada wa 30+ walikuwa wanachambwa ila mimi nilikuwa naona kama iko mbaaali[emoji3][emoji3][emoji3] nilivyofikafika hata sielewi
Kumbe haya mambo yalikuwepo tangu zamani!?!
 
Back
Top Bottom