Unazeeka jione hapa

Unazeeka jione hapa

Dah...miaka 83 sasa...kwa kifupi uzi haunihusu 🤣 🚶‍♂️🚶‍♂️
 
Kikubwa uzima,kama nitaishi mpaka angalau miaka 70+ nikiwa na afya timamu inatosha,hata kama nitakuwa sina kitu.kufa katika umri wa miaka kati ya 0-55 ndio kunanipa hofu sana bila kujali nina nini au sina nini.najiombea maisha marefu tu basi .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom