Unawezaje kustahimili usaliti wa kimapenzi?

kilamba lamba

JF-Expert Member
May 27, 2020
367
679
Habarini wana jamvi. Natumai mu wazima wa afya kabisa.

Niende moja kwa moja kwenye mada. Kama kichwa cha habari kilivyosema. Wewe kama binadamu uliyekamilika kifikra na kihisia, unawezaje kustahimili usaliti wa kimapenzi wa aina yoyote. Uwe wa text, kushuhudia kabisa au kwa kuambiwa.

Ni swali nalojiuliza tunatofautiana nini mpaka wengine wana uwezo wa kusamehe usaliti na wengine wanashindwa kusamehe jambo hilo.

Em tupeane dondoo kidogo kuhusu hilo jambo.

1657015965009.png
 
Kuna ambao wanasaliti ndio tabia zao na wengine wanasaliti kwa sababu zao binafsi ila dawa ya cheater ni kuachana nae tu
Habarini wana jamvi. Natumai mu wazima wa afya kabisa.

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Kama kichwa cha habari kilivyosema. Wewe kama binadamu uliyekamilika kifikra na kihisia, unawezaje kustahimili usaliti wa kimapenzi wa aina yoyote. Uwe wa text, kushuhudia kabisa au kwa kuambiwa.

Ni swali nalojiuliza tunatofautiana nini mpaka wengine wana uwezo wa kusamehe usaliti na wengine wanashindwa kusamehe jambo hilo.

Em tupeane dondoo kidogo kuhusu hilo jambo.

 
Mim kama mwenza wangu hanisumbui kwa maana nikimtaka muda wowote nampata na anayajua mambo vizuri ya 6 kwa 6,afu mtoto fulani sifa zote anazo kama figure ya maana na sura na sio mpiga vizinga vya ajabu ajabu kama vile vya laki 2 sjui mama kawaje mjomba kameza shoka.

Naweza mvumilia kabisa hata akiwa na usaliti hata kama najua ila siwezi kumuoa ila kuwa nae kimahusiano naweza hata miaka 10+
 
Mim kama mwenza wangu hanisumbui kwa maana nikimtaka muda wowote nampata na anayajua mambo vizuri ya 6 kwa 6,afu mtoto fulani sifa zote anazo kama figure ya maana na sura na sio mpiga vizinga vya ajabu ajabu kama vile vya laki 2 sjui mama kawaje mjomba kameza shoka.

Naweza mvumilia kabisa hata akiwa na usaliti hata kama najua ila siwezi kumuoa ila kuwa nae kimahusiano naweza hata miaka 10+
Kama mimi tu.

Ujue nilichojifunza ni kua sio rahisi kupata mtu asiekusaliti, hata kama mwanamke alikua anataka mwanaume kama wewe binadamu teumbiwa tamaa na kutaka zaidi.

Hivyo akili yako isimuamini saana ulienae.
 
Me nakutafuta wewe tu kila angle leo ndo Kazi nilojpa, Kimsingi inauma lakini unapaswa kuasamehe ili ujenge mahusiano yenye kuheshmiana badae ukiamua kua wa kuacha basi utakua sawa nae kwa maana wote mnabadil sample mara kwa mara.
 
Angalizo kama huwe, kusamehe basi uachane kabisa na Mapenz, vinginevyo wote ni Manzi ga nyanza
 
Back
Top Bottom