Unawezaje kumblock binadamu mwenzako

Unawezaje kumblock binadamu mwenzako

Ukianza michepuko utajua kwamba walioiweka hiyo option ya block hawakuwa wajinga.
Naomba niongezee neno "pumbavuuu!" hapo mwisho!

Picha linaanza fety anapiga huku mkeo anachezea simu anakupa pokea. Unapatwa na ganzi ghafla🤣🤣🤣

Michepuko inatolewa karantini napoingia kwenye gari na kuanza safari ya kuelekea mjini..
 
Umenikumbusha kuna kaka mmoja tulikuwa tunafanya nae kazi, nilikuwa simpendi jamani ila sikuwahi kumuonyesha, nikikutana nae nasalimiana nae vizuri ila siendelezi story najitia niko busy. Siku moja alinisaidia jambo kubwa sana najiuliza bila yeye siku ile sijui ingekuwaje. Nikashukuru sikuwahi kumuonyesha chuki au dharau yoyote
Usikute ni yule boya anaekudanganya anakulavu sahivi!
 
Sasa mi huwa ananipigia hata saa 6 za usiku nimelala na mwenzie huoni ni hatari kubwa sana hio.

Hatari sana kuna watu inabidi wabadili mpaka line zao kuepuka usumbufu kama huu, mtu anajua fika kuwa unaishi na mwenzio lakini bado simu za mambo yasiyo ya lazima kwa mda fulani haachi.
 
Kuliko kuniblock, wewe niambie tu Sitaki Unipigie Simu. Hutokaa uone salamu wala neno langu Maisha yako yote.
sio sitaki unipigie simu bali muda flani specific ukishafika usinipigie!
 
Back
Top Bottom