Unawezaje kumblock binadamu mwenzako

Unawezaje kumblock binadamu mwenzako

Mambo ya kublock sana huwa yanalazimika kwa Jinsia ke, ni nadra sana wanaume kufikia hatua hii. Ukitaka uwe blocked mkopeshe hela mtu asie mwaminifu utakula block tu
 
Kuna watu hawajui hata kublock kwasababu wana njia zao nyengine za kublock!
Tusi moja tu mpaka unaumwa homa!😂
Kwa wale wakorofi sasa ulishawahi pigwa mtama ukaruka kimo cha ng'ombe..? Sasa hao binadamu wapo na namba yake sio tu utaifuta mpaka unawapigia mtandao husika hutaki kuiona kabisa namba yake😂

Kuna wengine wanachamba hasa jinsia ke! Unachambwa mpaka inafika hatua unajiuliza hivi kwanini naishi..?
Si bora tu nisingekuwepo maana kila mchambo unaotoka ukijaribu kukilinganisha na kiumbe chochote hakuna kiumbe cha namna hiyo isipokuwa wewe tu unaechambwa! Unaweza hata ukalia na umesimama lknachozi yanaelekea kwa nyuma yani kwenye maskio😂😅

Michambo inafadhaisha sana kuna videmu viwili hivyo kenge mimi sitavisahau,wameniasili kwa michambo yao mpaka nikisikia neno "UNIKOME" Moyo unashtuka😅😅
Nikishaona mtoto wa kike kasimama mbele yangu halafu mguu mmoja mbele mwengine nyuma halafu mkono mmoja kiunoni na akianza kunesanesa hapo hapo naukumbuka na ule usemi usemao "mwana kulitaka mwana kulipata"!! Nainua na miguu nakula khona😂😅
 
Kuna watu hawajui hata kublock kwasababu wana njia zao nyengine za kublock!
Tusi moja tu mpaka unaumwa homa!
Kwa wale wakorofi sasa ulishawahi pigwa mtama ukaruka kimo cha ng'ombe..? Sasa hao binadamu wapo na namba yake sio tu utaifuta mpaka unawapigia mtandao husika hutaki kuiona kabisa namba yake

Kuna wengine wanachamba hasa jinsia ke! Unachambwa mpaka inafika hatua unajiuliza hivi kwanini naishi..?
Si bora tu nisingekuwepo maana kila mchambo unaotoka ukijaribu kukilinganisha na kiumbe chochote hakuna kiumbe cha namna hiyo isipokuwa wewe tu unaechambwa! Unaweza hata ukalia na umesimama lknachozi yanaelekea kwa nyuma yani kwenye maskio

Michambo inafadhaisha sana kuna videmu viwili hivyo kenge mimi sitavisahau,wameniasili kwa michambo yao mpaka nikisikia neno "UNIKOME" Moyo unashtuka
Nikishaona mtoto wa kike kasimama mbele yangu halafu mguu mmoja mbele mwengine nyuma halafu mkono mmoja kiunoni na akianza kunesanesa hapo hapo naukumbuka na ule usemi usemao "mwana kulitaka mwana kulipata"!! Nainua na miguu nakula khona
Daah we acha tu mkuu unapewa tusi moja tu. Hadi moyo na maini yanachoma ubongo unavurugika unaacha kutongoza kama mwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu hawajui hata kublock kwasababu wana njia zao nyengine za kublock!
Tusi moja tu mpaka unaumwa homa!😂
Kwa wale wakorofi sasa ulishawahi pigwa mtama ukaruka kimo cha ng'ombe..? Sasa hao binadamu wapo na namba yake sio tu utaifuta mpaka unawapigia mtandao husika hutaki kuiona kabisa namba yake😂

Kuna wengine wanachamba hasa jinsia ke! Unachambwa mpaka inafika hatua unajiuliza hivi kwanini naishi..?
Si bora tu nisingekuwepo maana kila mchambo unaotoka ukijaribu kukilinganisha na kiumbe chochote hakuna kiumbe cha namna hiyo isipokuwa wewe tu unaechambwa! Unaweza hata ukalia na umesimama lknachozi yanaelekea kwa nyuma yani kwenye maskio😂😅

Michambo inafadhaisha sana kuna videmu viwili hivyo kenge mimi sitavisahau,wameniasili kwa michambo yao mpaka nikisikia neno "UNIKOME" Moyo unashtuka😅😅
Nikishaona mtoto wa kike kasimama mbele yangu halafu mguu mmoja mbele mwengine nyuma halafu mkono mmoja kiunoni na akianza kunesanesa hapo hapo naukumbuka na ule usemi usemao "mwana kulitaka mwana kulipata"!! Nainua na miguu nakula khona😂😅
🤣🤣🤣🤣🤣😃🤣🤣🤣
 
Pisi Kali ndo zinaongoza kuwablock watu, za kawaida Mara chache sana. Kuliko kumblock mtu ni bora ukawa upokei simu zake, sms n.k yeye mwenyewe baada ya mda atanyoosha mikono juu
 
Back
Top Bottom