Unawezaje kumblock binadamu mwenzako

Unawezaje kumblock binadamu mwenzako

Nini maana ya Blocking? Au unampigia simu mtu au unamtext simu anakata, texts hajibu na baadae hakutafuti?
Hio inaitwa ignoring, mtu kama ataona missed calls zako halafu asikutafute ni kwamba amekupotezea tu ila hajakublock.

Ukiwa blocked ama simu isipatikane kabisa ama ujibiwe na mtandao kuwa mtumiaji anaongea na simu ingine kila unapompigia.
 
Hio inaitwa ignoring, mtu kama ataona missed calls zako halafu asikutafute ni kwamba amekupotezea tu ila hajakublock.

Ukiwa blocked ama simu isipatikane kabisa ama ujibiwe na mtandao kuwa mtumiaji anaongea na simu ingine kila unapompigia.
Yote yanamaanisha kitu kimoja kutokana na mimi. Hiyo ni kuwa, Huna Maana yoyote kwake. Ya nini kujitaabisha kwa mtu
 
IMG-20200422-WA0041.jpeg
 
Back
Top Bottom