Mr Attorney
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 25,536
- 34,673
Nimewahi kuku block facebookMimi pia sijawahi kublock mtu
Acha kukaa kihasara hasara
Nimewahi kuku block facebookMimi pia sijawahi kublock mtu
Kuna watu hawajui hata kublock kwasababu wana njia zao nyengine za kublock!
Tusi moja tu mpaka unaumwa homa!
Kwa wale wakorofi sasa ulishawahi pigwa mtama ukaruka kimo cha ng'ombe..? Sasa hao binadamu wapo na namba yake sio tu utaifuta mpaka unawapigia mtandao husika hutaki kuiona kabisa namba yake
Kuna wengine wanachamba hasa jinsia ke! Unachambwa mpaka inafika hatua unajiuliza hivi kwanini naishi..?
Si bora tu nisingekuwepo maana kila mchambo unaotoka ukijaribu kukilinganisha na kiumbe chochote hakuna kiumbe cha namna hiyo isipokuwa wewe tu unaechambwa! Unaweza hata ukalia na umesimama lknachozi yanaelekea kwa nyuma yani kwenye maskio
Michambo inafadhaisha sana kuna videmu viwili hivyo kenge mimi sitavisahau,wameniasili kwa michambo yao mpaka nikisikia neno "UNIKOME" Moyo unashtuka
Nikishaona mtoto wa kike kasimama mbele yangu halafu mguu mmoja mbele mwengine nyuma halafu mkono mmoja kiunoni na akianza kunesanesa hapo hapo naukumbuka na ule usemi usemao "mwana kulitaka mwana kulipata"!! Nainua na miguu nakula khona![]()





AiseeFei
Acha kukaa kihasara hasara
Dooh usimdharau mtu kila mtu hujui,unae mchukulia poa leo pengine anaweza kuja kukusaidia next time au mda huo huo hujui unaweza kutana na hatari gani kwa wakati upi.Ukiwa na mambo za hali ya chini hata kama mwanangu nafuta no hapohapo,
Ukinitafuta zaidi ya mara2 nikajua ww ni yule nakulima block
Sasa mkuu kuna wengine unakuta amekuacha , unafuta namba bado anakutafuta ili akuumize tu..Futa namba, utoona chochote..hapo mkuu, unakua bado una upendo kwake bado, hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha kuna kaka mmoja tulikuwa tunafanya nae kazi, nilikuwa simpendi jamani ila sikuwahi kumuonyesha, nikikutana nae nasalimiana nae vizuri ila siendelezi story najitia niko busy. Siku moja alinisaidia jambo kubwa sana najiuliza bila yeye siku ile sijui ingekuwaje. Nikashukuru sikuwahi kumuonyesha chuki au dharau yoyoteDooh usimdharau mtu kila mtu hujui,unae mchukulia poa leo pengine anaweza kuja kukusaidia next time au mda huo huo hujui unaweza kutana na hatari gani kwa wakati upi.
Tena unayemdharau usije shangaa ndo anakuombea unafanikiwa bila kujua.
Maisha hayana garantee, me huwa simdharau mtu yeyote wote wanafaa wote wana hadhi sawa sio wa chini au wajuu.
Angalia sana maneno yako.
Dharau ni nn?!Dooh usimdharau mtu kila mtu hujui,unae mchukulia poa leo pengine anaweza kuja kukusaidia next time au mda huo huo hujui unaweza kutana na hatari gani kwa wakati upi.
Tena unayemdharau usije shangaa ndo anakuombea unafanikiwa bila kujua.
Maisha hayana garantee, me huwa simdharau mtu yeyote wote wanafaa wote wana hadhi sawa sio wa chini au wajuu.
Angalia sana maneno yako.
Nilishajibu dearMambo za hali ya chini unamaanisha nini
Mpenda papuchi yako au mtu maskini ?
Acha kukaa kihasara hasara
Ukweli ni kwamba kila kiumbe wa Mungu ameumbwa kwa makusudio na kazi yake, huenda uwepo wa mtu fulani una balance Maisha ya mtu mwingine.Umenikumbusha kuna kaka mmoja tulikuwa tunafanya nae kazi, nilikuwa simpendi jamani ila sikuwahi kumuonyesha, nikikutana nae nasalimiana nae vizuri ila siendelezi story najitia niko busy. Siku moja alinisaidia jambo kubwa sana najiuliza bila yeye siku ile sijui ingekuwaje. Nikashukuru sikuwahi kumuonyesha chuki au dharau yoyote
Wake wanapatikana sana tu kikubwa uchague unayeona mnaendana kimaisha!Hongera kwa kupata jiko hapa jf bt wape mbinu walio fail
No sio kunifuraisha, ila hakuna aliye chini au juu ila kikubwa wote wapo sawa pengine status au uwezo wa mtu wa kung'amua mambo au uwezo wa kipesa,huo ni uwezo kila mtu kajaiwa na Mungu.Dharau ni nn?!
Bro kila mwambaa ngoma huvutia upande wake kwann nijikere nafsi ili nikufurahishe?!
Mm sina marafiki kabisa heri ww unaoNo sio kunifuraisha, ila hakuna aliye chini au juu ila kikubwa wote wapo sawa pengine status au uwezo wa mtu wa kung'amua mambo au uwezo wa kipesa,huo ni uwezo kila mtu kajaiwa na Mungu.
udhaifu wa mtu ni udhaifu wake, hatujui kesho kipi kitatokea nani atakusaidia
Mfano me huwa ni mkimya namarafiki wachache sana, ambao nimeona wanafaa lakini sijawai chukulia mtu yeyote poa au kuwaona hao ambao nipo nao mbali kuwa wa chini au wajuu.
Sawa ila katika Dunia hamna aliyejitosheleza,hata Moo Dewij bado anamhitaji jirani( watu mambo yake yaende) ,Duniani tunategmeana. Unaweza kwa na pesa ndefu ila upo katikati ya jangwa na usiweze kuitumia na unaweza usipate chochote na pesa ndefu ukiwa jangwani.Mm sina marafiki kabisa heri ww unao
Nna watu ninaofahamiana nao i dont expect much kutoka kwa watu
Let bygones be bygones
Moo ni naniSawa ila katika Dunia hamna aliyejitosheleza,hata Moo bado anamhitaji jirani( watu mambo yake yaende) ,Duniani tunategmeana. Unaweza kwa na pesa ndefu ila upo katikati ya jangwa na usiweze kuitumia na unaweza usipate chochote na pesa ndefu ukiwa jangwani.
Jitaidi usijiwekee kisiwa katika Maisha . uwe na siku njema Dadaaa
Moo Dewij i meanMoo ni nani