Unaweza soma Degree Huku ukiwa Kazini

Kuna chuo kipo Kenya kinaitwa Africa Nazarene University (ANU)wana kozi nyingi kwenye Open and distance learning mode yaani unasoma na kufanya mitahani online ushindwe wewe tu! vyuo vikuu vya dizaini hii vimejaa tele japo inategemea unataka kozi gani maana kozi kama udaktari uhandisi, kwa kifupi kozi za sayansi kusoma fully online ngumu sababu zina mafunzo mengi sana kwa vitendo yanayotaka kuwe na physical contacts ila kama ni kozi za sanaa, biashara, sheria, ualimu kozi za fully online and distance learning mode zimejaa teleeeeeee. Kila la kheri.
Corse ni nayotaka kupiga ni shipping and Logistics Transport
 
Kwani UDSM wameacha kutoa evening classes?

Nakumbuka kipindi kile najiunga kulikuwa na fomu za kujaza Kama umeoa, unafanya kazi na ungependa kufanya semina lini pamoja na uhitaji wa masomo ya jioni.

By the way, nowdays sijajua taratibu zao na ratiba zao zipoje
Okay thanks ngoja niguatilie mkuu
 
Habari ya uzima wakubwa kwa wadogo, natumaini uzima upo lakini wale ambao Wana shida ya Afya basi Mwenyezi Mungu awajalie uzima.

Naomba kuuliza kwa wale wenye uzoefu au walishapitia naomba Mnisaidie hapa.

Mfano mtu amemaliza Diploma then akapata kazi akaajiriwa, je anaweza soma Degree akiwa anaendelea na kazi yake bila kuacha (Yani kazi ya Kuajiriwa maybe na kampuni au Tasisi yeyote) na kama inawezekana kusoma ni taratibu gani?, Inabidi apitie au Afanye Ili awe akisoma Degree yake, Huku akiwa kazini kaajiriwa

Plz mwenye uelewa na Hili anaisadie ndugu zangu.

Natanguliza shukurani zangu za dhati.
Kama upo mjini na kuna vyuo soma evening class kama upo mbali na mjini soma OPEN UNIVERSITY
 
Vyuo vyote dar vina evening classes mchawi pesa tu.
Unauliza kusoma Dar nilidhani upo kitopeni huko.
Mda wa masomo wengi uanza saa kumi hadi saa mbili usiku na Sio lazima Kila siku uingie darasani.
 
Kozi za shipping labda chuo Cha bandari temeke vingine vina procurement and logistics shipping ikiwa ndani yake.
 
Inabidi tuongee Mkuu.
Unaweza nisaidia kwa ufafanuzi zaidi mfano kww hapa Tz ni vyuo gani vyenye evening Classes

Kwa upande wangu Course nayotaka kwenda kuchukua ni degree in Shipping and Logistics.

Sasa hapa kwa Bongo au wewe mwenyewe chuo ulichopiga kwa evening Classes ni kipi na vipi kuhusu kazin hukupata shida sanaa
Vipo vingi ila inategemea na mkoa ulipo, mfano CBE Ina evening class, unatakiwa kuomba ruhusa kazini yakutoka mapema na umbali wa kituo Cha kazi na chuo pia unamata muda utaoomba kuwa unatoka kazini, siku za mitihani unakuwa unachukua likizo ila muda mwingine unatoka kazini mapema kuwahi mitihani, ratiba za maisha yako zitabadilika ni kazi na shule hivyo hutapata muda wa kupumzika, kazi yako itakusaidia kupata walimu wa tuition kwa Yale masomo magumu.
 
Habari ya uzima wakubwa kwa wadogo, natumaini uzima upo lakini wale ambao Wana shida ya Afya basi Mwenyezi Mungu awajalie uzima.

Naomba kuuliza kwa wale wenye uzoefu au walishapitia naomba Mnisaidie hapa.

Mfano mtu amemaliza Diploma then akapata kazi akaajiriwa, je anaweza soma Degree akiwa anaendelea na kazi yake bila kuacha (Yani kazi ya Kuajiriwa maybe na kampuni au Tasisi yeyote) na kama inawezekana kusoma ni taratibu gani?, Inabidi apitie au Afanye Ili awe akisoma Degree yake, Huku akiwa kazini kaajiriwa

Plz mwenye uelewa na Hili anaisadie ndugu zangu.

Natanguliza shukurani zangu za dhati.
Unawaandikia barua ya kuomba ruhusa ya kwenda masomo. Utapewa ruhusa, utakwenda zako kusoma, na mshahara utakuwa unalipwa huku ukiendelea na masomo.
 
Walivyo maliza Diploma waliendelea na Bachelor Na Open University au kivipi
Maana Mimi Nina Diploma nataka kujiendeleza Bachelor na nipo Job so
Unaweza nambia hao jamaa hakuna changamoto walizo PATA zozote
Plz mkuu naomba ufafanuzi zaidi
Yani jamaa walipata ajira kwa sifa ya cheti ya kidato cha nne, baada ya muda kidogo waliji organise tu wakaenda OU wakapewa muongozo kila mtu alichagua alichoona anamudu na kwa wakati wake akaanza mafunzo.

Kiukweli walikuwa serious na walikomaa sana fikiria tokea Certificate hadi ufike Bachelor degree ni safari ndefu.

Baadae walipeleka vyeti vyao mahali husika taratibu zikafanyika.
 
Kwa technology ilipofika kukaa darasani traditionally haina mantiki isipokuwa kwa vijana fresh from school! Hawa hizo stage ni muhimu kuwaimarisha.

Accredited Universities zinazotoa on line degree zipo unapiga shule vizuri tu, lectures, assignments, exams zote ni on line. Ila expensive bora vyuo vyetu vya hapa.
kabisa ya mtandaoni ndo nzuri
 
Na mda wa Kuwa Darasani au wa Masomo unaruhusiwa kutoka kazin kwenda class au hapo inakuaje mkuu kuhusu Kusoma na Kwenda kazin
Samahan unaweza nifafanulia kidogo
Ukiwa serikalini unapewa ruhusa, hivyo inakuwa shule muda wote, na kazini ikibidi ni wakati wa likizo. Taasisi binafsi, ongea nao uone kama Wana utaratibu huo, au wa kukuweka likizo bila malipo n.k.
Ikishindikana, jaribu chuo kikuu huria au online.
 
Back
Top Bottom