Unaweza soma Degree Huku ukiwa Kazini

Mtu Alie Nyikani

JF-Expert Member
Nov 9, 2022
714
1,529
Habari ya uzima wakubwa kwa wadogo, natumaini uzima upo lakini wale ambao Wana shida ya Afya basi Mwenyezi Mungu awajalie uzima.

Naomba kuuliza kwa wale wenye uzoefu au walishapitia naomba Mnisaidie hapa.

Mfano mtu amemaliza Diploma then akapata kazi akaajiriwa, je anaweza soma Degree akiwa anaendelea na kazi yake bila kuacha (Yani kazi ya Kuajiriwa maybe na kampuni au Tasisi yeyote) na kama inawezekana kusoma ni taratibu gani?, Inabidi apitie au Afanye Ili awe akisoma Degree yake, Huku akiwa kazini kaajiriwa

Plz mwenye uelewa na Hili anaisadie ndugu zangu.

Natanguliza shukurani zangu za dhati.
 
Kwa technology ilipofika kukaa darasani traditionally haina mantiki isipokuwa kwa vijana fresh from school! Hawa hizo stage ni muhimu kuwaimarisha.

Accredited Universities zinazotoa on line degree zipo unapiga shule vizuri tu, lectures, assignments, exams zote ni on line. Ila expensive bora vyuo vyetu vya hapa.
 
nilisoma dip, nikasoma deg huku nikiwa kazini
ilikuwa private, walinipa ruhusa ya kuingia ya shift usiku tu
nilichezea karai za kutosha, ila siku-disco

kuna baadhi ya vyuo vina evening classes
Inabidi tuongee Mkuu.
Unaweza nisaidia kwa ufafanuzi zaidi mfano kww hapa Tz ni vyuo gani vyenye evening Classes

Kwa upande wangu Course nayotaka kwenda kuchukua ni degree in Shipping and Logistics.

Sasa hapa kwa Bongo au wewe mwenyewe chuo ulichopiga kwa evening Classes ni kipi na vipi kuhusu kazin hukupata shida sanaa
 
Unaweza kusoma kupitia Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, lakini pia kupitia madarasa ya jioni (Evening Class). Mchawi hapo ni location tu.
Hivo vyuo huwa nasikia vina shida kwa upande wa Ubora pamoja na ufundishaji wake pamoja na uandaaji wake wa masomo japo sijawai soma kupitia hivo vyuo but nawez thibitisha kupitia brother wangu aliwai pita huko mwishoe alipata changamoto mpka akamua kuacha
Inshort siyo vyuo Bora

Kuhusu evening Classes hapo na mm ndo nataka
Location nipo Dar Sasa sjui vyuo ambavyo vinatoa evening Classes
Labda unaweza nisaidia hapo mkuu
 
Hivo vyuo huwa nasikia vina shida kwa upande wa Ubora pamoja na ufundishaji wake pamoja na uandaaji wake wa masomo japo sijawai soma kupitia hivo vyuo but nawez thibitisha kupitia brother wangu aliwai pita huko mwishoe alipata changamoto mpka akamua kuacha
Inshort siyo vyuo Bora

Kuhusu evening Classes hapo na mm ndo nataka
Location nipo Dar Sasa sjui vyuo ambavyo vinatoa evening Classes
Labda unaweza nisaidia hapo mkuu
Dogo hamna chuo kilicho bora wala nn. Mambo mengi watu wanajifunzia kazini. Siku ukipata ajira ndio utalijua hili. Ukishafika kazini hamnaga mm nilisoma wapi sijui mwalimu nani alifanyaje.
 
Dogo hamna chuo kilicho bora wala nn. Mambo mengi watu wanajifunzia kazini. Siku ukipata ajira ndio utalijua hili. Ukishafika kazini hamnaga mm nilisoma wapi sijui mwalimu nani alifanyaje.
Hamna mkuu, nazungumzia usumbufu wao kuhusu masomo na kufanya mitihani huwa nasikia wanasumbua sanaa.
 
Kwa technology ilipofika kukaa darasani traditionally haina mantiki isipokuwa kwa vijana fresh from school! Hawa hizo stage ni muhimu kuwaimarisha.

Accredited Universities zinazotoa on line degree zipo unapiga shule vizuri tu, lectures, assignments, exams zote ni on line. Ila expensive bora vyuo vyetu vya hapa.
Kisoma online ni changamoto hapa kwetu hasa suala la mtandao hasa wanaofanyia KAZI vijijini
 
Hivo vyuo huwa nasikia vina shida kwa upande wa Ubora pamoja na ufundishaji wake pamoja na uandaaji wake wa masomo japo sijawai soma kupitia hivo vyuo but nawez thibitisha kupitia brother wangu aliwai pita huko mwishoe alipata changamoto mpka akamua kuacha
Inshort siyo vyuo Bora

Kuhusu evening Classes hapo na mm ndo nataka
Location nipo Dar Sasa sjui vyuo ambavyo vinatoa evening Classes
Labda unaweza nisaidia hapo mkuu

Tembelea tovuti za kila chuo cha hapa dsm unaweza pata.
 
Mdogo wangu si bora utenge chumba hapo home uifanye ofisi alafu fungia internet au nunua rooter ya mtandao pendwa halafu lipia vyuo vya juu uwe unasoma mtandaoni jioni na usiku siku ya mtihani unaomba ruhusa job
 
Na mda wa Kuwa Darasani au wa Masomo unaruhusiwa kutoka kazin kwenda class au hapo inakuaje mkuu kuhusu Kusoma na Kwenda kazin
Samahan unaweza nifafanulia kidogo
Serikalini unaondoka kabisa kazini unaenda chuo kazini unakuwa unaenda unapokuwa likizo. Lakini wakati wa darasa unakuwa full time chuoni ila mshahara wako unasoma kama kawaida! Kwa private sector utatakiwa kuacha kazi mazima!
 
Kwa technology ilipofika kukaa darasani traditionally haina mantiki isipokuwa kwa vijana fresh from school! Hawa hizo stage ni muhimu kuwaimarisha.

Accredited Universities zinazotoa on line degree zipo unapiga shule vizuri tu, lectures, assignments, exams zote ni on line. Ila expensive bora vyuo vyetu vya hapa.
Mtihan onlain???


Wanadhibit vp udanganyif???
 
Back
Top Bottom