Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,403
- 40,316
Dunia ina mambo mengi sana wakuu. Unaweza kumpenda mtu na mkaingia naye kwenye mahusiano, baadaye ndio ukagundua kasoro au changamoto alizonazo. Nilishakutana na changamoto moja baada ya kukutana na mwanamke mwenye majini/mapepo. Tukawa tunapendana bila mi kujua kama ana hilo tatizo.
Tulikuwa tukikaa naye, baadaye anaingiliwa na hali ya kuchekacheka huku anarembua macho mi nikawa najua labda ni nyeg..e tu zinamsumbua, kwa sababu alikuwa ananilazimisha nikampe sex. Basi nikawa nachapa mzigo tu.
Wakati nachapa mzigo anakuwa anachekacheka huku anageuza macho juu na kiini kile cheusi kujificha na jicho kuwa jeupe. Mimi nikawa naendelea kumpa dozi tu...mpaka baadaye ndio anashtuka anarudi katika hali ya kawaida na kuniuliza ninamfanya nini. Tumeendelea na staili hizo kwa muda mrefu bila kujua ana tatizo la mapepo.
Na alikuwa akitaka kusafiri labda asubuhi, usiku atanipa penzi la nguvu...na ikifika saa 11 asubuhi alikuwa anaamka na kufanya usafi ndani, na kujipulizia manukato pamoja na kuwasha udi na nyumba nzima kujaa moshi. Nikawa najiuliza inakuwaje anafanya haya mambo kwa sababu hii hali ilikuwa ikijirudia rudia kila anapotakiwa kusafiri.
Kuja kufuatilia ikaonekana alikuwa na mapepo,ikabidi nimpeleke kwenye maombezi. Ndipo nilipogundua, unaweza kufikiri unapendwa kumbe unapendwa na majini.
Tulikuwa tukikaa naye, baadaye anaingiliwa na hali ya kuchekacheka huku anarembua macho mi nikawa najua labda ni nyeg..e tu zinamsumbua, kwa sababu alikuwa ananilazimisha nikampe sex. Basi nikawa nachapa mzigo tu.
Wakati nachapa mzigo anakuwa anachekacheka huku anageuza macho juu na kiini kile cheusi kujificha na jicho kuwa jeupe. Mimi nikawa naendelea kumpa dozi tu...mpaka baadaye ndio anashtuka anarudi katika hali ya kawaida na kuniuliza ninamfanya nini. Tumeendelea na staili hizo kwa muda mrefu bila kujua ana tatizo la mapepo.
Na alikuwa akitaka kusafiri labda asubuhi, usiku atanipa penzi la nguvu...na ikifika saa 11 asubuhi alikuwa anaamka na kufanya usafi ndani, na kujipulizia manukato pamoja na kuwasha udi na nyumba nzima kujaa moshi. Nikawa najiuliza inakuwaje anafanya haya mambo kwa sababu hii hali ilikuwa ikijirudia rudia kila anapotakiwa kusafiri.
Kuja kufuatilia ikaonekana alikuwa na mapepo,ikabidi nimpeleke kwenye maombezi. Ndipo nilipogundua, unaweza kufikiri unapendwa kumbe unapendwa na majini.