Kuna muhindi rafiki yangu juzi katika kufahamiana zaidi nikamuuliza kuhusu watoto wake akaniambia anaye mmoja wa miaka mitano,nikauliza mbona umechelewa hivyo si uliniambia ndoa ina miaka 16 akasema tulikuwa na mwingine mke wangu alichanganyikiwa na kumtupa toka ghorofani akiwa na miaka 2.Mke akawekwa ndani lakini baada ya muda madaktari wakathibitisha alichanganyikiwa kwa muda hakujuwa alilofanya ikabidi aachiwe.Nikamuuliza sasa una uhakika gani hawezi tena kuchanganyikiwa na kumtupa huyu akadai anampenda sana na amehamia nyumba ya chini na kuna wafanyakazi wawili anaowaamini hapo nyumbani asipokuwepo.
Nauliza hivi wewe unaweza kuendelea kuishi na mtu wa hivi ?
Nauliza hivi wewe unaweza kuendelea kuishi na mtu wa hivi ?