- Thread starter
- #21
nipo mkuu,mimi ningempeleka mtoto kwa ndugu zangu na kuendelea kuishi naye lakini mtoto siwezi kuwa na amani akiwepo hapo.Sijui Mhindi kasikia Uporoto1 kamwaga hapa kamtupa mwenyewe? maana haonekani tena...mwenye kujua alipo atoe taarifa jamni...