Unawekaje/uliwezaje kujiwekea Akiba

Kwa kipato cha elf10 na hayo majukumu ni ngumu mkuu labda uchonge kibubu uwe unadumbukiza 1000,2000 kulingana na ubanaji wako wa matumizi.

Sema kuweka fedha kwenye kibubu huku unaandamwa na majukumu ni sawa na kubanwa na kiu huku unasubiri soda zipoe kwenye friji..lazima kila mda utacheki kama zimepoa unywe.. yaitaji moyo aise!
Ila ukiwa na nia utaweza tu!
 
Kwa kipato cha elf10 na hayo majukumu ni ngumu mkuu labda uchonge kibubu uwe unadumbukiza 1000,2000 kulingana na ubanaji wako wa matumizi.

Sema kuweka fedha kwenye kibubu huku unaandamwa na majukumu ni sawa na kubanwa na kiu huku unasubiri soda zipoe kwenye friji..lazima kila mda utacheki kama zimepoa unywe.. yaitaji moyo aise!
Ila ukiwa na nia utaweza tu!
Yea ni sawa mkuu lakini kama unavyojua maisha yana changamoto nyingi na Akiba ndio mkombozi
 
Yea ni sawa mkuu lakini kama unavyojua maisha yana changamoto nyingi na Akiba ndio mkombozi
Ni kweli kabisa mkuu..cha mhimu ni kuanza kuweka akiba kidogo kidogo..pia ongeza ubanaji wa matumizi au ondoa kabisa matumizi yasio ya lazima.

Uwezi tumia kipato chote unachpata kwa siku lazima kuna siku matumizi yanapanda na kushuka,yakishuka ni faida kwako..yakipanda akikisha akiba haiguswi tumia ulichonacho mfukon na sio akiba!

Weka malengo ya mbali na kua na msimamo!
 
Binafsi mimi niliweza kuweka akiba kwa kuanza kutengeneza bajeti yangu ya mwezi. Maana yake ujue kwenye mwezi matumizi yako yote ni kiasi gani na pia kipato chako ni kiasi gani. Baada ya hapo utaona kabisa pesa inayozidi baada ya bajeti yako ya matumizi muhimu kwa mwezi inaenda kwa account kama akiba.

Na kipato kingine chochote mbali na kipato kikuu kinaenda kwenye akiba. Kwa maana nyingine ukiona matumiz yako kwa mwez ni laki tatu, na mshahara wako ni laki 7 unaweza fanya saving ya laki 3, laki tatu matumizi na laki moja for emergency. Na ikitokea ukapata kipato chochote nje ya huo mshahara kiweke kwenye account maana hakipo kwenye bajeti. Usiongeze matumizi yasiyo ya lazima kisa tu umepata ela ambayo haikuwepo kwenye mpango.

Pia banks siku hizi zinaturahisishia kufanya saving sana. Mfano kuna accounts ambazo huwez access pesa zako kwa kutumia ATM cards au mobile banking, kwa hiyo unapohitaji ela zako ni mpaka uende bank. So kama hizo pesa unazihitaji kwa mambo yasiyo muhimu unakuta unaghair kwenda kutoa. Pia kuna huduma ya kuhamisha pesa automatic kutoka kwenye account yako ya mshahara kwenda akaunt yako ya akiba kila mwezi, kwa hiyo mshahara ukitoka unakatwa moja kwa moja akiba yako unabakiwa na ya kutumia tu. Kitu kingine hizo akaunt za kuweka akiba nyingi zina riba, so unaweza kuta akiba yako imeongezeka hata elf 20 saa nyingine, sio kidogo hiyo.

Cha msingi kwenye kuweka akiba kwanza uwe na lengo, sio unaweka tu akiba hata hujui unaiweka ya nn, mwishowe utaila tu. Kingine jua matumiz ya lazima na yale yasio ya lazima yaepuke kwa nguvu zako zote, sisemi watu msile good time, mara moja moja sio mbaya ila isiwe too much good time. Kingine epuka gharama zisizo na msingi, mfano mimi nlikua nalipia king'amuz Tsh 84,000 kwa mwezi ila baada ya kuchuza zaid kwa nn nalipa hivyo niliacha maana nakuta channel nazozitaka labda za movies ni mbili au tatu tu na channel nyingine sina time nazo. So niloacha kulipia hicho kiasi nikajikuata na tsh elf 50 ya ziada. Nikitaka moviea sa hivi na download au naenda nunua, movies library zipo nyingi sana siku hizo.

Huo ni mfano kwangu, naamini kila mmoja wetu ana vitu visivyo vya msingi sana anavilipia wakati kuna mbadala wake kuepuka hizo gharama.
 
Binafsi mimi niliweza kuweka akiba kwa kuanza kutengeneza bajeti yangu ya mwezi. Maana yake ujue kwenye mwezi matumizi yako yote ni kiasi gani na pia kipato chako ni kiasi gani. Baada ya hapo utaona kabisa pesa inayozidi baada ya bajeti yako ya matumizi muhimu kwa mwezi inaenda kwa account kama akiba.

Na kipato kingine chochote mbali na kipato kikuu kinaenda kwenye akiba. Kwa maana nyingine ukiona matumiz yako kwa mwez ni laki tatu, na mshahara wako ni laki 7 unaweza fanya saving ya laki 3, laki tatu matumizi na laki moja for emergency. Na ikitokea ukapata kipato chochote nje ya huo mshahara kiweke kwenye account maana hakipo kwenye bajeti. Usiongeze matumizi yasiyo ya lazima kisa tu umepata ela ambayo haikuwepo kwenye mpango.

Pia banks siku hizi zinaturahisishia kufanya saving sana. Mfano kuna accounts ambazo huwez access pesa zako kwa kutumia ATM cards au mobile banking, kwa hiyo unapohitaji ela zako ni mpaka uende bank. So kama hizo pesa unazihitaji kwa mambo yasiyo muhimu unakuta unaghair kwenda kutoa. Pia kuna huduma ya kuhamisha pesa automatic kutoka kwenye account yako ya mshahara kwenda akaunt yako ya akiba kila mwezi, kwa hiyo mshahara ukitoka unakatwa moja kwa moja akiba yako unabakiwa na ya kutumia tu. Kitu kingine hizo akaunt za kuweka akiba nyingi zina riba, so unaweza kuta akiba yako imeongezeka hata elf 20 saa nyingine, sio kidogo hiyo.

Cha msingi kwenye kuweka akiba kwanza uwe na lengo, sio unaweka tu akiba hata hujui unaiweka ya nn, mwishowe utaila tu. Kingine jua matumiz ya lazima na yale yasio ya lazima yaepuke kwa nguvu zako zote, sisemi watu msile good time, mara moja moja sio mbaya ila isiwe too much good time. Kingine epuka gharama zisizo na msingi, mfano mimi nlikua nalipia king'amuz Tsh 84,000 kwa mwezi ila baada ya kuchuza zaid kwa nn nalipa hivyo niliacha maana nakuta channel nazozitaka labda za movies ni mbili au tatu tu na channel nyingine sina time nazo. So niloacha kulipia hicho kiasi nikajikuata na tsh elf 50 ya ziada. Nikitaka moviea sa hivi na download au naenda nunua, movies library zipo nyingi sana siku hizo.

Huo ni mfano kwangu, naamini kila mmoja wetu ana vitu visivyo vya msingi sana anavilipia wakati kuna mbadala wake kuepuka hizo gharama.
Nimejifunza kitu kutoka kwako mkuu thanks
 
Kwa kila ninacho kipata notoa 10% ya akiba, amini usiamini hii nimeifanya kama dozi ya ARV nisipo save nakufa!

Kwa mfano nikipata elfu 10, lazima ni save elfu 1 na ninaenda bank kuideposit hata nikute kuna foleni kiasi gani lazima nitimize lengo
Ni njia bora hakika
 
Kwa hali ilivyo tight sasa hivi kuweka akiba, ni jambo gumu sana japo ni la muhimu mno, lakin ndo hivyo tena.,Ukijaribu kuchunguza kwa makini Wengi wetu tunachokipata kusema la ukweli hakikidhi mahitaji badala yake huishia kwenye mahitaji makuu matatu{3} ;

{1} Chakula
{2} Mavazi
{3} Malazi

Yaan unakuta mtu anapigika kinoma noma kuhakikisha hayo mahitaji muhimu hayampiti kushoto,Tukirudi kwenye point ya msingi,kuhusu swala zima la kuweka akiba hilo sahau kabisa Zero IQ kulingana na hali ilivyo sasa.
 
Kwa kila ninacho kipata notoa 10% ya akiba, amini usiamini hii nimeifanya kama dozi ya ARV nisipo save nakufa!

Kwa mfano nikipata elfu 10, lazima ni save elfu 1 na ninaenda bank kuideposit hata nikute kuna foleni kiasi gani lazima nitimize lengo
Unaenda bank kudeposit 1000? Au unasubiri zijae jae? Huwa naona ugumu kudeposit chini ya 5000. Ngoja niige mfano wako..nitakuwa naweka kwa wakala.
 
Binafsi mimi niliweza kuweka akiba kwa kuanza kutengeneza bajeti yangu ya mwezi. Maana yake ujue kwenye mwezi matumizi yako yote ni kiasi gani na pia kipato chako ni kiasi gani. Baada ya hapo utaona kabisa pesa inayozidi baada ya bajeti yako ya matumizi muhimu kwa mwezi inaenda kwa account kama akiba.

Na kipato kingine chochote mbali na kipato kikuu kinaenda kwenye akiba. Kwa maana nyingine ukiona matumiz yako kwa mwez ni laki tatu, na mshahara wako ni laki 7 unaweza fanya saving ya laki 3, laki tatu matumizi na laki moja for emergency. Na ikitokea ukapata kipato chochote nje ya huo mshahara kiweke kwenye account maana hakipo kwenye bajeti. Usiongeze matumizi yasiyo ya lazima kisa tu umepata ela ambayo haikuwepo kwenye mpango.

Pia banks siku hizi zinaturahisishia kufanya saving sana. Mfano kuna accounts ambazo huwez access pesa zako kwa kutumia ATM cards au mobile banking, kwa hiyo unapohitaji ela zako ni mpaka uende bank. So kama hizo pesa unazihitaji kwa mambo yasiyo muhimu unakuta unaghair kwenda kutoa. Pia kuna huduma ya kuhamisha pesa automatic kutoka kwenye account yako ya mshahara kwenda akaunt yako ya akiba kila mwezi, kwa hiyo mshahara ukitoka unakatwa moja kwa moja akiba yako unabakiwa na ya kutumia tu. Kitu kingine hizo akaunt za kuweka akiba nyingi zina riba, so unaweza kuta akiba yako imeongezeka hata elf 20 saa nyingine, sio kidogo hiyo.

Cha msingi kwenye kuweka akiba kwanza uwe na lengo, sio unaweka tu akiba hata hujui unaiweka ya nn, mwishowe utaila tu. Kingine jua matumiz ya lazima na yale yasio ya lazima yaepuke kwa nguvu zako zote, sisemi watu msile good time, mara moja moja sio mbaya ila isiwe too much good time. Kingine epuka gharama zisizo na msingi, mfano mimi nlikua nalipia king'amuz Tsh 84,000 kwa mwezi ila baada ya kuchuza zaid kwa nn nalipa hivyo niliacha maana nakuta channel nazozitaka labda za movies ni mbili au tatu tu na channel nyingine sina time nazo. So niloacha kulipia hicho kiasi nikajikuata na tsh elf 50 ya ziada. Nikitaka moviea sa hivi na download au naenda nunua, movies library zipo nyingi sana siku hizo.

Huo ni mfano kwangu, naamini kila mmoja wetu ana vitu visivyo vya msingi sana anavilipia wakati kuna mbadala wake kuepuka hizo gharama.
Mkuu umenena vema sana.
Very right, mimi ningeongezea hapo kwny bank, siku iz kuna banks ambazo zinaruhusu account kama fixed deposit lakini ni kind of saving, unaruhusiwa kuweka kila upatapo lakini huruhusiwi kutoa kila mara( mfano, mojawapo unaruhusiwa kutoa mara 1 kwa miezi mitatu)
Swala la kuweka akiba ni swala na kujinyima kwa wakati ujao, huwez kusubiri uwe na extra income au uwe na pesa huitaji ndo uweke akiba.
Hicho kidogo unachopata ndio u atakiwa ukipangie hesabu uweze kuishi na kuwa na lengo la mbeleni.
Pia kwa wale wanaoamini, sadaka ya 10% ni muhimu pia kuwepo kwenye lengo lako.
Asante.
 
Huwa natumia chat hiyo Mimi ni mfanyabiashara sitegemei kipato cha mwezi, na huwa sisubiri week ikatike , nachofanya kila kiwango nachopata naweka na tiki, ikifikia kwenye pesa zenye figure ndefu nazidunduliza pembenu then nasave bank zikitimia km kawaida. natiki Nina kidaftar changu maalum

IMG_20181031_201952_314.jpg
 
Unaenda bank kudeposit 1000? Au unasubiri zijae jae? Huwa naona ugumu kudeposit chini ya 5000. Ngoja niige mfano wako..nitakuwa naweka kwa wakala.
Nakumbuka nlikua napanga folen ndefu nikiwa na 5000 wenzangu wamekamatia vibunda lakin sikujal..

Kila wiki lazima niende benk kuweka elf5 ad 7 kulingana na nlichopata.

Akibaki imenitoa mbali sana Mungu ashukuriwe kwa kweli!
 
Nakumbuka nlikua napanga folen ndefu nikiwa na 5000 wenzangu wamekamatia vibunda lakin sikujal..

Kila wiki lazima niende benk kuweka elf5 ad 7 kulingana na nlichopata.

Akibaki imenitoa mbali sana Mungu ashukuriwe kwa kweli!
Nahitaji kufanya hivyo na mimi. Yaani siwezi save hata 100. Tatizo lingine bando linanimalizia sana hela. Nifanyeje kuhusu hilo?
 
Nakumbuka nlikua napanga folen ndefu nikiwa na 5000 wenzangu wamekamatia vibunda lakin sikujal..

Kila wiki lazima niende benk kuweka elf5 ad 7 kulingana na nlichopata.

Akibaki imenitoa mbali sana Mungu ashukuriwe kwa kweli!
Nahitaji kufanya hivyo na mimi. Yaani siwezi save hata 100. Tatizo lingine bando linanimalizia sana hela. Nifanyeje kuhusu hilo?
 
Binafsi mimi niliweza kuweka akiba kwa kuanza kutengeneza bajeti yangu ya mwezi. Maana yake ujue kwenye mwezi matumizi yako yote ni kiasi gani na pia kipato chako ni kiasi gani. Baada ya hapo utaona kabisa pesa inayozidi baada ya bajeti yako ya matumizi muhimu kwa mwezi inaenda kwa account kama akiba.

Na kipato kingine chochote mbali na kipato kikuu kinaenda kwenye akiba. Kwa maana nyingine ukiona matumiz yako kwa mwez ni laki tatu, na mshahara wako ni laki 7 unaweza fanya saving ya laki 3, laki tatu matumizi na laki moja for emergency. Na ikitokea ukapata kipato chochote nje ya huo mshahara kiweke kwenye account maana hakipo kwenye bajeti. Usiongeze matumizi yasiyo ya lazima kisa tu umepata ela ambayo haikuwepo kwenye mpango.

Pia banks siku hizi zinaturahisishia kufanya saving sana. Mfano kuna accounts ambazo huwez access pesa zako kwa kutumia ATM cards au mobile banking, kwa hiyo unapohitaji ela zako ni mpaka uende bank. So kama hizo pesa unazihitaji kwa mambo yasiyo muhimu unakuta unaghair kwenda kutoa. Pia kuna huduma ya kuhamisha pesa automatic kutoka kwenye account yako ya mshahara kwenda akaunt yako ya akiba kila mwezi, kwa hiyo mshahara ukitoka unakatwa moja kwa moja akiba yako unabakiwa na ya kutumia tu. Kitu kingine hizo akaunt za kuweka akiba nyingi zina riba, so unaweza kuta akiba yako imeongezeka hata elf 20 saa nyingine, sio kidogo hiyo.

Cha msingi kwenye kuweka akiba kwanza uwe na lengo, sio unaweka tu akiba hata hujui unaiweka ya nn, mwishowe utaila tu. Kingine jua matumiz ya lazima na yale yasio ya lazima yaepuke kwa nguvu zako zote, sisemi watu msile good time, mara moja moja sio mbaya ila isiwe too much good time. Kingine epuka gharama zisizo na msingi, mfano mimi nlikua nalipia king'amuz Tsh 84,000 kwa mwezi ila baada ya kuchuza zaid kwa nn nalipa hivyo niliacha maana nakuta channel nazozitaka labda za movies ni mbili au tatu tu na channel nyingine sina time nazo. So niloacha kulipia hicho kiasi nikajikuata na tsh elf 50 ya ziada. Nikitaka moviea sa hivi na download au naenda nunua, movies library zipo nyingi sana siku hizo.

Huo ni mfano kwangu, naamini kila mmoja wetu ana vitu visivyo vya msingi sana anavilipia wakati kuna mbadala wake kuepuka hizo gharama.
Mkuu unalipia king'amuzi 50000?...una mda wa kuangalia kabsa??.....mm kulipia 19000 dstv naona mtihan kumbe kuna watu wanatoa had 50k duuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom