Unawaomba radhi wageni kwa kuwakatia intaneti kwa siku 6 halafu wazalendo uliowaua hata majina yao unajifanya hauyajui!

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,063
Reaction score
136,414



Huyu Samia ni kiumbe wa ajabu sana.

Katika busara zake kaona ni sahihi kuwaomba radhi mabalozi kwa kuzima intaneti wakati ule wauaji wake walipokuwa wanawaua wazalendo wa Kitanganyika.

Ila mpaka sasa hajaomba radhi kwa kuwaua maelfu ya Watanganyika, wakiwemo watoto wadogo kabisa!

Hivi nyie wenzangu huwa mnamwona ana akili kweli huyo mtu?

Busara za kawaida [common sense] zinakataza kabisa kwa mtu mwenye akili timamu kuwaomba radhi watu ambao hakuwakosea chochote, lakini wale ambao kawaua, kawateka, kawatesa, kawafunga kwa kuwabambikia kesi, n.k., Kajinyamazia utadhani hakuna kitu kilichotokea!

Huyo Samia [naam, hilo ndo jina lake na nitamuita hivyo milele] hajajihangaisha na kulitaja hata jina moja la wale watoto aliowaua!

Juzi wakati anaongea sijui na majaji wale, nikamsikia anaongelea suala la haki 😀!

Samia anatoa wapi ubavu wa kuongelea haki?

Huyo mtu ni psychopath. Na siku atayopasuliwa bichwa lake na ubongo wake kuruka hewani kama mbege iliyotemwa na mlevi wa gongo, nitafurahi sana, mno kupita maelezo.

Kusema ukweli sijawahi kufurahia kifo cha binadamu mwingine maana wote hiyo ndo hatma yetu.

Lakini kwa huyu psychopath najipa udhuru. Kifo chake nitakifurahia hata kama nikiwa kaburini.

I hate the bitch.
 
Busara za kawaida [common sense] zinakataza kabisa kwa mtu mwenye akili timamu kuwaomba radhi watu ambao hakuwakosea chochote, lakini wale ambao kawaua, kawateka, kawatesa, kawafunga kwa kuwabambikia kesi, n.k., Kajinyamazia utadhani hakuna kitu kilichotokea!🥺🤔💪🏿
 
Sidhani kama kichwa chake kiko sawa huyo.
 
Kusema umeliponya taifa kwa kuwaomba Mabalozi msamaha ni kejeli kwetu,
Kusema unalijenga taifa kwa kuanzisha wizara ya vijana ni drama za mchana kweupe maana tuliisha kuwa nayo ikaishia kuwasaidia vijana waliojiunga ccm
Kusema.

Swali kwako MH RAIS internet kwa Mabalozi ilikuwa ni muhimu kwao sio kwa watanzania siku hiyo?

Je internet ni muhimu Kuliko uhai wa vijana wetu waliouwa?
Nashauri MH RAIS tuombe msamaha watanzania wote.
 
Huyo kiasili tu hana akili.

Mtu mwenye akili hawezi akawa anashauriwa mambo ya kipumbavu halafu na yeye akubaline nayo.

Pia, mtu mwenye akili hutumia akili zake kuchagua vizuri watu ataojihusisha nao.

Sasa huyo Samia kama anashauriwa vibaya na hao so called washauri wake, basi hilo tatizo ni lake.

Mimi kamwe sitowalaumu ‘washauri’ wake.
 
Katika busara zake kaona ni sahihi kuwaomba radhi mabalozi kwa kuzima intaneti wakati ule wauaji wake walipokuwa wanawaua wazalendo wa Kitanganyika.
Mkuu; ilikuwa afanyeje?
Busara za kawaida [common sense] zinakataza kabisa kwa mtu mwenye akili timamu kuwaomba radhi watu ambao hakuwakosea chochote,
Hii ni kanuni mpya mkuu. Lakini asante kwa maoni, ni haki yako.
Kusema ukweli sijawahi kufurahia kifo cha binadamu mwingine maana wote hiyo ndo hatma yetu.

Lakini kwa huyu psychopath najipa udhuru. Kifo chake nitakifurahia hata kama nikiwa kaburini.
Tuombe uwe hai mkuu ili ufurahie.
I hate the bitch
Faidika na haki yako mkuu. Unayo haki hiyo. Mungu akujaalie uishi sana ili uone mengi kwani kuishi kwingi ni kuona mengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…