<br />Edward Chumila, Fikiri Magoso, Omari Hussein.........JAMANI ZAMANI KULIKUWA NA WACHEZAJ KWELI KWELI
Roster Ndunguru hakuwa na kipaji sana ila soka lake la kibabe (halafu ana mwili mdogo mdogo) ndio ilikuwa burudaniRosta Ndumguru mkali wa Nyota Nyekundu, Peter Tino, Richard Lumumba, Peter Mwakibibi, Salum Kabunda, Salum Kusi
Jamaa alichakachua jina akaumbuka.Justin Simfukwe aka Nelson Mawazo
Umenikumbusha mbali,aah Tom Tohoye.Mbona mmewasahau Tomas Tohoye(TT) na Rajabu Rashid(Msingida)?nadhani wote ni wazenji kama sikosei maana walikuwa wanachezea Miembeni ya Zanzibar.Miaka hiyo ligi ya muungano ilikuwa noma. pia kulikuwa na kina Edgar Fongo,Victor Mkanwa,Yasin Napili etc. Sio siku hizi eti kuna timu inaitwa wana tam tam,lamba lamba,wana kishamapendo n.k.
Wakali watupu,dah ilikuwa raha.Leonard Chitete, Awadh Gesan, Juma Bomba, Giilbert Mahinya, Athuman Kilambo, Omari kapera, Elias Michael (RIP), Boi Wickens (RIP), Hamis Kitenge,