Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Katika taasisi za vyuo na sekondari za wavulana huwa kuna vijiji jirani ambavyo hupakana na vyuo hivi.
Kwenye vijiji huwa kuna msichana mmoja anakuwaga malaya sana kiasi cha kutembea na wavulana au karibu wanachuo wa bweni zima huo anaitwa dada bunga.
Ukienda Kigurunyembe TTC kuna kijiji kinaitwa Mtaa wa pili pale kulikuwa na dada bunga, ukienda Mpwapwa TTC kuna kijiji kinaitwa Mwanakianga pale pia kulikuwa na madada bunga, ukienda Korogwe kuna kijiji kinaitwa Masuguru pia wapo.
Je, unawajua madada bunga?
Kwenye vijiji huwa kuna msichana mmoja anakuwaga malaya sana kiasi cha kutembea na wavulana au karibu wanachuo wa bweni zima huo anaitwa dada bunga.
Ukienda Kigurunyembe TTC kuna kijiji kinaitwa Mtaa wa pili pale kulikuwa na dada bunga, ukienda Mpwapwa TTC kuna kijiji kinaitwa Mwanakianga pale pia kulikuwa na madada bunga, ukienda Korogwe kuna kijiji kinaitwa Masuguru pia wapo.
Je, unawajua madada bunga?