Kwenye miguu upo sahihi
Mmesahau wengi kichwani weupeee peee/akili za class hamna kitu. Ndio house galz product shizzle
umefanay utafiti wa kutosha juu ya hayo makabila mengine?
Ndio nawafahamu. Wadhulumati, wabinafsi, wanawake wao malaya na wanatumia ndumba kwenye ndoa zao.
poti umeenda mbali. hizo ni fikra finyu za kibongo; huwezi ku generalize na kusema hivyo kwani utakuwa umeendeleza haya;
- wapare wote ni baili
- wahaya kwa mambo hawashikiki
- wanawake wa tanga usijaribu
- wagogo omba omba
- wahehe wala mbwa
- wahehe kwa hasira...
- wakinga wana roho mbaya
- wasandawe waaminifu
- ongezea...
poti umeenda mbali. hizo ni fikra finyu za kibongo; huwezi ku generalize na kusema hivyo kwani utakuwa umeendeleza haya;
- wapare wote ni baili
- wahaya kwa mambo hawashikiki
- wanawake wa tanga usijaribu
- wagogo omba omba
- wahehe wala mbwa
- wahehe kwa hasira...
- wakinga wana roho mbaya
- wasandawe waaminifu
- ongezea...
sio wote jamani mi mrangi ila nna miguu bomba huwezi amini!
Kwa taharifa yako tu, Hawa ndugu zetu hupendelea zaidi kuandika barua zao kwa kuzianza kwa salamu za kikwao, hata maandishi ya mapambo kwenye vyombo vya usafiri mengi huyaandika kwa lugha yao ya Kirangi kuliko makabila mengine ya Tanzania.
Nipo Kondoa leo, Siku njema wana JF
Mkuu! Kwa bahati mbaya nimeanza safari ya kuelekea sehemu moja hivi inaitwa Misoghaa Singida. Aziz amezikosa salamu zako.Warangi wana sifa zaidi ya hizo,, ni wakarimu sana na si wachoyo! Halafu nyie wasandawe na wao warangi mnafanana katabia kamoja "dada zenu wengi sana wameolewa na waarabu" Ukija dar nilete vindege vya kelema. Nisalimie sana Aziz Mohamed yupo hapo kondoa town petrol satation.
Mkuu! Kwa bahati mbaya nimeanza safari ya kuelekea sehemu moja hivi inaitwa Misoghaa Singida. Aziz amezikosa salamu zako.
Warangi wana sifa zaidi ya hizo,, ni wakarimu sana na si wachoyo! Halafu nyie wasandawe na wao warangi mnafanana katabia kamoja "dada zenu wengi sana wameolewa na waarabu" Ukija dar nilete vindege vya kelema. Nisalimie sana Aziz Mohamed yupo hapo kondoa town petrol satation.
mzee hapo pekundu umenena, ukifika mitaa ya kondoa kondoa kama unaenda mza wewe pumzika tu uendelee na safari kesho yake kama kweli hiyo safari itakuwepo.
dah mnanikumbusha khadija wangu jamani, mtoto wa kirangi she was so cute lkn miguu tu alikosa hilo nathibitisha, huyu mtoto ndo nilopojifunzia style zote tulikuwa bila bao nne hatujatoka room, upo wapi khadija. Nakumbuka mapenzi yalituzidi mpaka ilifika kipindi tunajifungia gesti toka saa nne asubuhi mpaka kumi na mbili jioni, khadijaa mtoto wa kondoa ilikuwa arusha hiyo wadau, nakumbuka my bro alisafiri km wiki hivi khadija alikuwa anaishi na dada'ke pale mitaa ya shamsi kwa vile ilikuwa jirani na home basi usiku alikuwa anatoroka. eti anafunga uzi wa kushonea kwenye mguu wake halafu anautolea dirishani basi mie ikifika saa nne usiku naenda dirishani nauvuta ule uzi anashtuka tunasepa kuibanjua amri ya sita. dah khadijaa mtoto wa kirangi maskini walimkeketa lkn kwa uwezo wangu niliweza kumfikishaa kileleni. warangi wazuri bana lkn pale arusha hawana sifa nzuri.
Ndio nawafahamu. Wadhulumati, wabinafsi, wanawake wao malaya na wanatumia ndumba kwenye ndoa zao.
Kwa taharifa yako tu, Hawa ndugu zetu hupendelea zaidi kuandika barua zao kwa kuzianza kwa salamu za kikwao, hata maandishi ya mapambo kwenye vyombo vya usafiri mengi huyaandika kwa lugha yao ya Kirangi kuliko makabila mengine ya Tanzania.
Nipo Kondoa leo, Siku njema wana JF
Wanatoka wilaya ya KONDOA ambayo ina siri moja kuhusu jina la wilaya yao, kila ukiondoa herufi ya kwanza ya jina la wilaya hiyo unapata neno la kiswahili. Angalia mfano hapa chini:
KONDOA
ONDOA
NDOA
DOA
OA
A !!!!!!!!!!