Unavaa saa mkono gani?

Wang Shu

JF-Expert Member
Feb 1, 2014
2,563
3,704
Nilikuwa navaa saa mkono wa kushoto nilibadilisha baada ya kuona wanawake wengi wanavaa mkono huo niliamua kuvaa mkono wa kulia mpaka sasa.

Sababu kubwa iliyonifanya nibadilike ni mpenzi wangu pia anavaa mkono wa kushoto na anaigeuza sehemu ya kuangalia mda inakuwa kiganjani, huangalia muda kila baada ya masaa kadhaa ya kazi kupita sasa jinsi anavyoangalia anavutia sana, niliona huu kumbe ni mkono wa kike nilivua saa yangu na kuivaa mkono wa kulia.

Ni mtazamo wangu tu, wenzangu sijui kwanini wanavaa mkono wa kulia au kushoto!

1620909062432.png

 
Saa inavaliwa kutokana na mkono mtu anaotumia sana. Kama mtu anatumia mkono wa kulia (Right Handed) sana basi saa anavaa mkono wa kushoto. Na kama mtu anatumia mkono wa kushoto (Left Handed) sana basi saa anavaa mkono wa kulia.

Hii inatokana na hatari ya kuivunja, kuiharibu au kuichakaza saa yake.

#Sio Lazima Kufuata Principle Hii.
 
Nilikuwa navaa saa mkono wa kushoto nilibadilisha baada ya kuona wanawake wengi wanavaa mkono huo niliamua kuvaa mkono wa kulia mpaka sasa.

Sababu kubwa iliyonifanya nibadilike ni mpenzi wangu pia anavaa mkono wa kushoto na anaigeuza sehemu ya kuangalia mda inakuwa kiganjani, huangalia muda kila baada ya masaa kadhaa ya kazi kupita sasa jinsi anavyoangalia anavutia sana, niliona huu kumbe ni mkono wa kike nilivua saa yangu na kuivaa mkono wa kulia.

Ni mtazamo wangu tu, wenzangu sijui kwanini wanavaa mkono wa kulia au kushoto!

Me navaa kushoto naona inanikaa poa zaidi
 
Navaa kushoto

Biologically, mkono wa kulia una activities nyingi hautaki uzito kitu kinachomzongazonga...pia kuna ukushoto fulani hivi kuvaa kulia.

Fashionable, mkono wa kushoto hana shunguli nyingi basi abaki na urembe wa saa na brasalet...hata movement yake si strong.

Safety, saa ikikaa mkono wa kulia una % kubwa ya kuharibika haraka activities za mkono na quickly movement.
 
Kumbuka saa ni urembo pia unaposema mwanaume hatakiwi avutie unamaanisha nini...You miss read mens.
Mwanaume anavutia pesa sio saa

Saa uvae kulia tena ya gharama tujue kiwango cha pesa huwezi tumia simu

Sio kuwaaibisha wanaume wenzio.
 
Navaa kushoto

Biologically, mkono wa kulia una activities nyingi hautaki uzito kitu kinachomzongazonga...pia kuna ukushoto fulani hivi kuvaa kulia.

Fashionable, mkono wa kushoto hana shunguli nyingi basi abaki na urembe wa saa na brasalet...hata movement yake si strong.

Safety, saa ikikaa mkono wa kulia una % kubwa ya kuharibika haraka activities za mkono na quickly movement.

Umeongea ukweli wote mkuu, mimi pia saa iko mkono kwa kushoto.
 
Mwanaume anavutia pesa sio saa

Saa uvae kulia tena ya gharama tujue kiwango cha pesa huwezi tumia simu

Sio kuwaaibisha wanaume wenzio.
Mwanaume inamuhusu Fashion na Stylish.

Sipo kupoteza muda wangu kijinga hapa Have nice day
 
Saa huvaliwa mkono wa kushoto ksbb mkono wa kulia ndio wenye nguvu,kwa hiyo mara nyingi mkono wa kulia hutangulia mbele kwenye kazi yoyote,iwe nzito nzito au nyepesi. Sasa ili saa isiingilie utendaji wako,kama kunasa kwenye vitu unavyoshughurika navyo,inabidi itulie kushoto.

Mfano rahisi enzi zetu hapo miaka ya 2000 kurudi nyuma vijana walikuwa sio kama wa sasa. Kitaa kulikuwa na ukorofi mwingi sana,sasa ili iwe shap na kasi kumpiga mtu panch kwa mkono wa kulia,ikalazimu saa iwe inavaliwa kwenye mkono mpole wa kushoto.
 
Back
Top Bottom