"Unatutia aibu Gigy!" Watanzania wakerwa na tabia za Gigy Money huko Kenya

Ikaria

Member
Jul 17, 2019
71
195
Watanzania wengi katika mitandao ya kijamii hususan instagram wameonekana kukerwa na msanii Gigy Money kwa namna alivyokuwa akicheza densi isiyo ya kistaarabu huku ameshika bendera ya taifa mkononi, katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta nchini Kenya.

Kwenye video hio Gigy anaonekana akicheza kihuni huku akiimba...."jambo ! Jambo Kenya ! Karibu Kenya hakuna matata.

 
Watanzania wengi katika mitandao ya kijamii hususan instagram wameonekana kukerwa na msanii Gigy Money kwa namna alivyokuwa akicheza densi isiyo ya kistaarabu huku ameshika bendera ya taifa mkononi, katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta nchini Kenya.

Kwenye video hio Gigy anaonekana akicheza kihuni huku akiimba...."jambo ! Jambo Kenya ! Karibu Kenya hakuna matata.


Ushuzi ajambe Gigy, aibu uone wewe?

Utakuwa na maradhi wewe.
 
Unakuta we ni male unahangaika na kifuatilia Gigy anachofanya, daah inasikitisha sana
 
Ushuzi ajambe Gigy, aibu uone wewe?

Utakuwa na maradhi wewe.
Baadhi ya watanzania hivi sasa tumekosa mambo muhimu ya kufuatilia... Hivi tunafuatilia mpaka binti msanii wa muziki akikata viuno....

Huko tuendako tutashangaa tukimuona kapteni wa timu ya soka akipiga danadana aiport...
 
Baadhi ya watanzania hivi sasa tumekosa mambo muhimu ya kufuatilia... Hivi tunafuatilia mpaka binti msanii wa muziki akikata viuno....

Huko tuendako tutashangaa tukimuona kapteni wa timu ya soka akipiga danadana aiport...
Inaweekana watu wanaogopa wakifuatilia siasa wanafungwa kwa kesi za kimtandao!
 
Badala mtu mwenye shida ya akili awekwe chini ya uangalizi maalum ndo kwaaanza anatoka hadi nje ya nchi!
 
Problem sio mauno kunengua. Hapana hilo mbona tu shwari.......tatizo ni bendera ya taifa mkononi kwenye densi za kihuni.
 
Really?

Ukija kuona vichupi vya kamba vyenye rangi za bendera ya taifa si utakufa kwa mshtuko wewe....
Swadakta. Hamna kashfa. Msabahi mkeo kama anavyo vichupi hivyo.
Narudia tena mauno kunengua hamna issue... Concern ni bendera yetu ya taifa kudhalilika.
We love this nation too much ! The slightest disrespect to our flag inatukera !
Period
 
Problem sio mauno kunengua. Hapana hilo mbona tu shwari.......tatizo ni bendera ya taifa mkononi kwenye densi za kihuni.
Wale wacheza porn wanaochukua videos wakiwa kitandani kina bendera ya marekani unasemaje
 
Swadakta. Hamna kashfa. Msabahi mkeo kama anavyo vichupi hivyo.
Narudia tena mauno kunengua hamna issue... Concern ni bendera yetu ya taifa kudhalilika.
We love this nation too much ! The slightest disrespect to our flag inatukera !
Period
Hahaaaa!

Haya endelea kupovuka hadi ujaze ki sadolin.
 
Wabongo kila kitu kinawahusu,Mambo ya Gigy yanakuhusu nn?Mkuu pambana na familia yako achana na mambo ambayo hayakuhusu
 
Back
Top Bottom