marthahozza
Member
- Apr 29, 2018
- 5
- 5
Empirial for ladies nd gentlemen
Hivi kile kikaratasi cha kwenye "EMPERIAL" mbona huwa akiishagi au hakilowi na kuchanika! Utaoga weee utamaliza sabuni yako baada ya wiki 2 lakini kile kikaratasi pale kinabaki vile vile!
Ni sabuni ya kipande/ya mcheKwa jinsi watu walivoitaja hiyo jamaa nami nimetamani kuijua au kama nimeshawahi itumia bac nahisi nimechanganyikiwa kwa kushindwa kuivutia taswira.. picha pls
Ushaishi mikoa yenye maji chumvi?.Hayo ma shower gel yamenishinda kuogea. Mtu unatoka unateleza ka ulikuwa massage
Unaongelea kupauka?Ushaishi mikoa yenye maji chumvi?.
Mbona utashukuru watengenezaji wa shower gel
Sabuni ya kipande/bar soap na maji chumvi utatoka bafuni kituko
Yahhh hadi uje upake mafuta ukae sawa ni ishuuUnaongelea kupauka?
Lakini kwa wenye ngozi zenye mafuta hilo tatizo halipo. In fact mimi sijawahi kupaka mafuta tangu nianze form 1 boarding na sipaukiYahhh hadi uje upake mafuta ukae sawa ni ishuu
Unazungumzia usoni tu amaLakini kwa wenye ngozi zenye mafuta hilo tatizo halipo. In fact mimi sijawahi kupaka mafuta tangu nianze form 1 boarding na sipauki
Hyo citron nzuri sana, napenda harufu yakeWazee kuna sabuni inaitwa CITRON huyu n mbadala halisii wa JAMAA grade II, yafaa mno kwa kuogea na kufulia..
Bei yake imechangamka kidogo mche ni 5.5k
Hahaha tuliozaliwa 98 tukae mbali sio???Wewe mtoto wa juzi, sisi enzi zetu japo ni wanaume, tulikuwa tunaogea GIV halafu ukioga hujifuti sana ili ukienda kumtongoza kabinti kasikie harufu ya GIV
View attachment 1263146
Basi grade one yake itakuwa imara sana,yaani uku tanzania tunatumia grade 2 lakini bado inaongoza,Jamani fursa hii tuitumieni jamaniThibitisha mwenyewe mkuu hapo kwenye maandishi...
View attachment 1263180
Nilijaribu kuiogoe siku moja basi mwili wote uliniwasha mpaka basi yaaniMkono juu wote tunaotumia Omo kuogea