Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 680
- 2,337
Me nafikiri Imperial ni moja kati ya sabuni bora za kuogea kuwahi kutengenezwa kwa huku dunia ya 3Mimi natumia imperial hii ni sabuni niliyotumia toka nikiwa mdogo, huwa nikiwa bafuni nikisikia ile harufu yake inanikumbusha nyumbani.
Dah nafikiri management mbovu. Hivi Revola hazikuwa kampuni ya Reginald Mengi kweli?Revola was the best hizi kampuni sijui kwanini huwa zinakufa na kulikua na mafuta ya kupakaa ya YU na Yolanda
Ndio zile za magadi?GWANJI kutoka kigoma
YeeaaaapNdio zile za magadi?
Sawa kiongoziYeeaaaap
Binafsi natumia Jamaa pia.. ni nzuri sanaZamani tulikuwa tunatumia Emperial toka Malawi na Zambia, nyingine ilikuwa kitu kama Vinolia Lavender kama sikosei toka Zambia.Pia Wengi tuliipenda Geisha, na enzi ya shule tulitumiaga Fa Wana wa CHAPUTA wataikumbuka.
Ila sasa hivi nami natumia Jamaa ni sabuni nzuri.
Hahaha umepatia sanaPamoja na mazoezi mimi huwa natumia revola, revola unifanya nijisikie vizuri mwili mzima....back to the topic mimi huwa natumia jamaa...
Yah.. Na kunaBaadhi Mikoa ya Kaskazini Wanazo..Yah mkuu! Ni kama sabuni za jamaa zinazoketwa Tanzania ni grade 2. Ile grade 1 inabaki kulekule Kenya.
Betty Mkwasa pia kuna muda alikuwa anasoma marehemu Asha Mtwangi, au marehemu Julius Nyaisangah "Anko Jay". Dah nimekumbuka mbali sanaWakati wa break ya taarifa ya habari inayosomwa na Betty Mkwasa ITV miaka ya 1997 na 1998, baada ya habari za kitaifa utaskia tangazo:-
Nieleze siiiri ya urembo wako......''sio sirii ni Revola''
Tinti..ndiiii
Aisee, nimeulizwa sabuni gani natumia inamaanisha sasa. Nikitaja sabuni nililizokuwa natumia we utachanganyikiwa maana zingine wewe unavyozaliwa hata hazikuwepoWewe mtoto wa juzi, sisi enzi zetu japo ni wanaume, tulikuwa tunaogea GIV halafu ukioga hujifuti sana ili ukienda kumtongoza kabinti kasikie harufu ya GIV
View attachment 1263146
Ha ha ha umetisha mkuu.Aisee, nimeulizwa sabuni gani natumia inamaanisha sasa. Nikitaja sabuni nililizokuwa natumia we utachanganyikiwa maana zingine wewe unavyozaliwa hata hazikuwepo
Au Suzana MongiBetty Mkwasa pia kuna muda alikuwa anasoma marehemu Asha Mtwangi, au marehemu Julius Nyaisangah "Anko Jay". Dah nimekumbuka mbali sana
Hizi zinapatikana kweli hapa kwa Magu?