Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,793
Hahaha, usianze kunikosea adabu we mtotoAisee, nimeulizwa sabuni gani natumia inamaanisha sasa. Nikitaja sabuni nililizokuwa natumia we utachanganyikiwa maana zingine wewe unavyozaliwa hata hazikuwepo

