Unatazama Movie Gani

Unatazama Movie Gani

Hii weka mbali na watt,inaanza kizembe sana mpaka yule binti anapotoroka na kuomba msaada wa hifadhi halfu muhuni anakauja kukataa mapesa kibaao ili awaachie ...aah ni ushanta mtupu
Daah kweli mkuu yaani pale alipoenda kuomba kazi kwa ile taasisi ya kutafutia watu Ajira hadi inatia huruma
 
Kuna movie niliiiona katikati inahusisha jamaa wa Mexico wanapiga dili kwenda kuiba pesa kwenye Vault ya Tajiri mmoja aliyepata pesa Kwa magumashi ya kuwauzia watu dawa feki..
Hiyo movie kuna kibinti ni fundi garage na dingi yake...siijui jina lake..mwenye idea please..
 
Natazama movie ya special forces kwa mapumziko ya jioni
 
Tazama hii JACK REACHER halafu uje usimulie, hutajuta ni movie kali sana
 
leo nimefunga mwaka kwa kutazama the foreigner ya Jack Chain..daah inahuzunisha.
 
Wakuu habari ya mapumziko ya sikukuu,natumaini mlio wengi kama mimi tuko nyumbani kwa mapumziko. Pamoja na shughuli za hapa na pale mimi natuliza akili kwa kuitazama movie ya Acts of Vengeance imechezwa na mkongwe Antonio Bandares. Kwenye movie hii analipiza kisasi kwa watu waliowaua mke na binti take.
Je we we unaangalia au ukipata muda unatarajia kuangalia movie gani.
Karibuni.


Naangalia watu wanalambana chumvi asubuhi hii kwani nina kaahadi hapo baadaye, hivyo najiweka sawa.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
aisee leo nimeangalia wolf warrior ,yani humo hakuna story ni action tu na vita waasi vs wachina + wanajeshi wa nchi

wame act kwenye nchi ya kiafrika iliyojaribu kufanya mapinduzi ya serikali ,kiswahili kama kawaida humo

kwa upande mwengine imenigusa sana
Mkuu hiyo ni wolf warrior 2 naikubali sana
 
Back
Top Bottom