Unatazama Movie Gani

Unatazama Movie Gani

Leo nimetazama Jack Ryan Shadow Recruit
 
MV5BMTc5NzQ4NzU4OF5BMl5BanBnXkFtZTgwNTkxMzE0MjI%40._V1_UX182_CR0%2C0%2C182%2C268_AL_.jpg


Untold truth about Tupac
 
aisee leo nimeangalia wolf warrior ,yani humo hakuna story ni action tu na vita waasi vs wachina + wanajeshi wa nchi

wame act kwenye nchi ya kiafrika iliyojaribu kufanya mapinduzi ya serikali ,kiswahili kama kawaida humo

kwa upande mwengine imenigusa sana
 
aisee leo nimeangalia wolf warrior ,yani humo hakuna story ni action tu na vita waasi vs wachina + wanajeshi wa nchi

wame act kwenye nchi ya kiafrika iliyojaribu kufanya mapinduzi ya serikali ,kiswahili kama kawaida humo

kwa upande mwengine imenigusa sana
Ngoja niitafute mkuu
 
itafute mkuu hautajuta wala kuifuta kwenye computer yako

then na itafute na ile American assassin ni ya kiintelenjia
Sawa, american assessin ninayo na nimeshaitazama
 
1.Home Again
2.The Foreigner
3. Kingsman
4.American Assassin
5. Papillon
6.Geostorm
Was Perfect weekend with those Movies
 
Dr shika laikini imeishia njiani nimeishia Epsod ya 3


Hadi leo pesa hazijakuja Tz.
 
Back
Top Bottom