Unatamani nini. . . ?

Unatamani nini sasa hivi?
Mi natamani nyama ya kuchoma au kuokwa,iwe ya motooooo. Bahati mbaya sehemu ambayo naweza kupata ishafungwa saa hizi. Sijui kwanini hii hamu haikunijia mapema. . . . arrrrrg.

nikikwambia ninachotamani unacho hapo ulipo utanipa?
 
Back
Top Bottom