Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,770
- 59,118
- Thread starter
- #21
mbege ya moto
Mbege ya moto unakunywaje bwashe? Kwanza unaipasha au inakuaje maana najua wakati wanakamua hua imepoa.
@ D. . .unataka anihonge leo alafu siku akininyang'anya nirudi kupigwa vikumbo kwenye daladala alafu?Bora niendelee hivi hivi.