rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,491
- 41,901
Kazi ndogo sana...Mwambie nitakuoaa! Huwa wanawehuka kabisaa yani anaweza hata kujilipia Mahari ili umuoee..akakuhudumia kwa pesa zake kama anafanya kazi..hadi akili zimrudie aisee umemvuna vya kutosha.
Hivi kina dada mkisikia neno ndoa why mnawehuka???
Hivi kina dada mkisikia neno ndoa why mnawehuka???