Unataka nani wa JF mkutane hata njiani

Unataka nani wa JF mkutane hata njiani

Mimi huyu dada wa kuitwa @lala1 huwa nakubali sana post zake ni mtu wa kwanza kunifanya niwe napita mmu. Japo siku hizi haonekani kabisa member wengine wa kiume tu kama kina @nyaningabu @prondo @ mwl crt paskal CHIEF MKWAWA @ e2thimiza @ njunwa wa mavoko The Boss wengine nasahau

Sent from my SM-N920F using Tapatalk
 
madam s NATAMANI NIMUONE JINSI BINTI ALIVYO KIMAADILI YA KIISLAAM...

IKIWEZEKANA TUONGEE NIFANYE NAE MATHNAA...NAJUA HAWEZA KATAA...MRADI TU LABDA YULE JAMAA ALIYEPELEKA POSA AZINGUE...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom