Hata utumie mkorogo gani ka lisura lako libovu litabaki vile vile.
Hata utumie mkorogo gani ka lisura lako libovu litabaki vile vile.
From theological point of view, there are no ugly people! God created all things in a perfect way. Just value what God has given to you ... Every one has something unique, discover it.
Aisee unaeza ukafika siku ya kiama sura yako haijamatch ya aliyonayo mungu unaeza jikuta jehanam direct..mhh
Hamna cha theological wala nini binadamu huzidiana uzuri na ibovu vile vile kama Absalom mtoto wa Daudi,Bathsheba na wengineo. Mkorogo hauongezi uzuri au nini?
Nyooooo.......muone kwanza.......ulipotelea wapi wewe..... Boflo......?.......
Yes! Umenena vyema, wanazidiana katika uzuri lakini hakuna aliye mbaya wa sura. Nionyeshe ni fungu lipi linalomtaja mwanadamu kuwa na sura mbovu au mbaya! Mtu aliyekuw na uzuri uliozidi aliandikwa. Anyways, wanawake waache kutumia vitu vinavyowaharibia uzuri wao, ni ushauri wangu.
grafani nipo mkuu, napita juu juu tu, c unajua jf imechange sana
Yes! Umenena vyema, wanazidiana katika uzuri lakini hakuna aliye mbaya wa sura. Nionyeshe ni fungu lipi linalomtaja mwanadamu kuwa na sura mbovu au mbaya! Mtu aliyekuw na uzuri uliozidi aliandikwa. Anyways, wanawake waache kutumia vitu vinavyowaharibia uzuri wao, ni ushauri wangu.