Malcolm X5
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 1,643
- 2,769
- Thread starter
- #21
wa sirari tutafutane tu kwenye contact yanguNipo tarime sirari nahitaji hii huduma mkuu
wa sirari tutafutane tu kwenye contact yanguNipo tarime sirari nahitaji hii huduma mkuu
kwa kuanzia labda carton ngapi mkuu?NIPO KUNDUCHI NATAKA MAJI
Toa maelezo kama mfanyabiashara.kuna structure ya namna hii,jumla1,jumla2,then rejareja
JUMLA1....ni wale wateja wanaoweza pata bidhaa toka kiwandani Direct..ie hata bei zao zinakuwa ni za mwanzo,AGENTS,DEALERS.
JUMLA2...Ni wale utakaowauzia,yaani maduka ya jumla mtaani
REJAREJA...Ni mlaji wa mwisho atakapoipata bidhaa mtaani
sasa unaangalia kwa mfano huo unajiweka katika kundi gani na hiyo structure unavyoweza hata kudominate soko ya hiyo bidhaa katika teritory yako,wahi sasa ntaendelea kuelimisha kwa namna yoyote ntakayoweza,lengo ni kusaidiana tu kufikia malengo....
Mtaji mzuri ni wastani wa shilingi ngapi? Au una-range shilingi ngapi hadi ngapi?Hellow wapendwa,
kama una mtaji wako mzuri wa kuanzia biashara za azam zote nikimaanisha maji,(buguruni),soda carbonated soft drinks(mwandege),juices (vingunguti),na vinginevyo,ushauri na kila kitu,pita hapa.
Nitakusaidia popote pale ulipo pande yoyote ya Tanzania,hata nje ya Tanzania.
Karibuni.
atleast 10mil kwa carbonated soft drinks,6mil kwa majiMtaji mzuri ni wastani wa shilingi ngapi? Au una-range shilingi ngapi hadi ngapi?
Hellow wapendwa,
kama una mtaji wako mzuri wa kuanzia biashara za azam zote nikimaanisha maji,(buguruni),soda carbonated soft drinks(mwandege),juices (vingunguti),na vinginevyo,ushauri na kila kitu,pita hapa.
Nitakusaidia popote pale ulipo pande yoyote ya Tanzania,hata nje ya Tanzania.
Karibuni.
milinoni moja ntakusumbua mkuu,jaribu kupata bidhaa kwa local dealers walio karibu nawe...Mkuu niko mozambique nahitaji kua Argent wa hizo bidhaa.
Kwa kuanzia nina duka la vinywaji baridi.
Na mtaji wa milioni moja ya tz.
Kama ikiwezekana tuwasiliane kupitia namba hizi ±258840310204.