Asante wachangiaji Wote Raha ipo hapa kwangu Niliagiza Gari 3 aina ya Mitsibishi Grandis Cheriot 2 za 99 iliobaki 98 ajabu zile za 99 nimelipa Mil3.2 kwa kila moja ila ya 98 niliandikiwa ktk accesmnt ya kulipa 2.6 Hivi hawa jamaa wanafuata vigezo gani? Sielewi
We come back on this.....nikotight kidogo na ''mabox'' ya bongo!
hlw sis!Dullymo,nataka kununua toyota noah rangi yoyote.je nijiandae shilingi ngapi kakangu?
u r wellcome lady!!Asante sana mheshimiwa nikipata mshiko wa kununua gari nitayafanyia kazi mie
hlw sis!
Unajua kwanza watu wengi wanachanganya kuna toyota noah na kuna toyota litehiace noah. But kwa upeo wa haraka haraka nishajua unayoitaka wewe. Ukiitaka gari hiyo andaa milioni 5.5 mpaka 6.5 kutegemea na options kama vile alloy rims, cdplayers, body kits, spoilers nk. Kama unahitaji let me know then nitakutumia picha na full quotation best. Gud day
hlw sis!
unajua kwanza watu wengi wanachanganya kuna toyota NOAH na kuna toyota litehiace NOAH. but kwa upeo wa haraka haraka nishajua unayoitaka wewe. ukiitaka gari hiyo andaa milioni 5.5 mpaka 6.5 kutegemea na options kama vile alloy rims, cdplayers, body kits, spoilers nk. kama unahitaji let me know then nitakutumia picha na full quotation best. gud day
gari hiyo hapo. ni noah ya mwaka 2000. CC2000 na odo ni 92,000kmMi so sis,,,,ila nipo interested na hii aina ya gari. Nitumie picha zake nione pia capacity ya engine na aina ya engine pia. Respect mkuu
gari hiyo hapo. ni noah ya mwaka 2000. CC2000 na odo ni 92,000km
mpaka kuitoa na full registration pamoja na comm yangu ni 7ml
Tatizo ni kwamba hao wanaofanya hiyo inspection wakati gari linashuka ndio hao wanaochomoa hivyo vitu na kuweka X kwenye kisanduku husika kwamba hicho kitu kwa mfano radio haimo. Ukweli ni kwamba inakuwepo lakini wakiishaonyesha kwamba haikuwemo basi wanapokwenda kuweka gari kwenye maegesho wanatoa vitu vyote walivyoonyesha kwamba havimo. Agent akienda kupewa gari anaona kabisa kwamba radio hamna na karatasi ya Bandari inaonyesha kwamba wakati wanapokea gari radio haikuwemo. Wakati huo meli imeisha ondoka ukimuuliza supplier anakwambia kila kitu kilikuwemo.
Nimeyakubali maelezo ya aliyepost hii habari kuhusu some companies huko .
Tiba
Ukweli ni kwamba document hii inabidi isainiwe na bandari pamoja na shipper. Sasa sidhani kuwa shipper anaweza kukubali kuwa kakabidhi gari haina radio wakati inayo. Mimi nilipewa hiyo inspection certificate yenye X kwenye radio/TV/DVD player na nilifuatilia kwa shipper hiyo radio (Gari ilikuwa CIF) mpaka akanitumia ingine ingawaje ilikuwa ya low quality.
Ukweli ni kwamba document hii inabidi isainiwe na bandari pamoja na shipper. Sasa sidhani kuwa shipper anaweza kukubali kuwa kakabidhi gari haina radio wakati inayo. Mimi nilipewa hiyo inspection certificate yenye X kwenye radio/TV/DVD player na nilifuatilia kwa shipper hiyo radio (Gari ilikuwa CIF) mpaka akanitumia ingine ingawaje ilikuwa ya low quality.
kaka fisadi, me nakuombea 2 gari lako lifike salama halafu ukauone mshike mshk wa tra na bandari kwa ujumla.maana bandari na tra ni bb m1 na mama m1.
dullymo,
ebu tusaidie kuhusu tradecarview maana hawa watu wanauza magari kwa bei poa sana na kuna makampuni mengi saana, sasa hayo ambayo wameyawekea lable kwamba ni ya kitapeli ni yapi???????????? Msaada kaka.
Inaelekea wewe si mtaalam sasa katika ili CIF sio COST INCLUDING FREIGHT bali ni COST INSURANCE FREIGHT- umenipata nipo katika fani hii zaidi ya miaka 12.