BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,050
- 10,493
Eti ukikaa wiki tatu bila kufanya kitu fulani unakuwa umekiacha. Huo ni upotoshaji wa kiwango cha Burj Khalifa.
The only key ya kuacha tabia usiyoipenda kwanza ni kuipenda hiyo tabia pili ni kuifanya to the maximum yaani kweli mpaka uone kwenye hicho kitu hakuna kipya trust me hapo unaenda kuacha hiyo tabia bila ya struggle yoyote.
The only key ya kuacha tabia usiyoipenda kwanza ni kuipenda hiyo tabia pili ni kuifanya to the maximum yaani kweli mpaka uone kwenye hicho kitu hakuna kipya trust me hapo unaenda kuacha hiyo tabia bila ya struggle yoyote.