Unasalimiwa....

sarikoki

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
1,194
721
Sisi wanaume wengine tuna matatizo kweli, jana nilienda na familia kule kwenye michezo ya maji.......mimi kwa kweli huwa nanunuaga magazeti alafu naenda kaunta wakati wife anaogelea na watoto..... nikiwa nalelekea kule kaunta dada mmoja akaniomba gazeti alikua amelala kwenye viti vya kuotea jua huku amevaa miwani ya jua......kwa sababu nilikua nayo mengi nikampa moja nikamwambia asome akimaliza nitalipitia, yeye akasistize nisubiri alikua anapitia headings tu...wakati nasubiri akaja jamaa ...akanipita na kakikumbo flani hivi...akaenda akakaa pembeni ya yule dada..nikamsalimia Habari za saa hizi kaka... jamaa akapiga kimya wala hata hakuniangalia... yule dada akamgeukia akamuuliza Si unasalimiwa?... jamaa hakumjibu akaendelea kujifuta maji na taulo.... basi mimi nikaondoka yule dada badae akaniletea gazeti langu akaniomba samahani kwa niaba ya jamaa yake akaniambia.. Msamehe bure tu kaka yangu wanaume wengine wana mambo ya kizamani sana.
 
then nilichukua gazeti langu sikumjibu maana sikutaka kupoteza stimu ya kesto zangu na yeye akaondoka zake...... Bila samahani.

na ukiwa kama mwanaume halisi unadhani ulimtendea haki bint mrembo aliyekufuata akiwa na swimming bikini yake na kukuomba umsamehe "basha wake wa ki-zamani"..???

Je hauoni kama ulitakiwa uchukuwe mawasiliano yake ili uweze kumjulia khali ya mahusiano yake mabovu na basha mwenye mambo ya kizamani?

Je hudhani kama wewe ndiye mwokozi pekee wa bint mrembo aliyenasa kwenye penzi la basha mpuuzi asiyestahili kuwa naye .... Au ulitaka yeye bint akuombe namba?

Je huna hisia kuwa umekuwa mzee/ aka domo zege such that bint anakuambia simama mpaka asome heading zote...huoni kama ulikuwa unakaribishwa uzidi kufahamiana naye vizuri?

Je huoni kama kitendo cha kumuacha mama na watoto wanaogelea na wewe kwenda kukaa kaunta kulikutia katika vishawishi na ni muda muafaka wa kuwa unaogelea na mama au usiende kabisa hukoo usijeingia majaribuni?

Jibu maswali haya ya awali then jiandae kwa multipo choisi kweshensi.
 
Then nilichukua gazeti langu sikumjibu maana sikutaka kupoteza stimu ya kesto zangu na yeye akaondoka zake...... bila samahani.

hii imeniacha hoi ha ha ha, ingekuwa ni mie nimeulizwa hivo ningejiskia vby we nouma
 
na ukiwa kama mwanaume halisi unadhani ulimtendea haki bint mrembo aliyekufuata akiwa na swimming bikini yake na kukuomba umsamehe "basha wake wa ki-zamani"..???

Je hauoni kama ulitakiwa uchukuwe mawasiliano yake ili uweze kumjulia khali ya mahusiano yake mabovu na basha mwenye mambo ya kizamani?

Je hudhani kama wewe ndiye mwokozi pekee wa bint mrembo aliyenasa kwenye penzi la basha mpuuzi asiyestahili kuwa naye .... Au ulitaka yeye bint akuombe namba?

Je huna hisia kuwa umekuwa mzee/ aka domo zege such that bint anakuambia simama mpaka asome heading zote...huoni kama ulikuwa unakaribishwa uzidi kufahamiana naye vizuri?

Je huoni kama kitendo cha kumuacha mama na watoto wanaogelea na wewe kwenda kukaa kaunta kulikutia katika vishawishi na ni muda muafaka wa kuwa unaogelea na mama au usiende kabisa hukoo usijeingia majaribuni?

Jibu maswali haya ya awali then jiandae kwa multipo choisi kweshensi.

No coment.
 
Eighty percent of success is showing up.
Woody Allen,US movie actor, comedian, & director (1935 - )
 
Bahati haiji mara mbili

Bahati ya nini tena Platoo... siku hizi mimi labda uniwekee kreti ya Kesto bridiiii zinazotoa jasho, hapo kwa kweli utaniweza...hayo mengine zero kabisa ndo maana wife huwa hanaga tatizo hata kama akiniona naongea na demu mkali kiasi gani.
 
na ukiwa kama mwanaume halisi unadhani ulimtendea haki bint mrembo aliyekufuata akiwa na swimming bikini yake na kukuomba umsamehe "basha wake wa ki-zamani"..???

Je hauoni kama ulitakiwa uchukuwe mawasiliano yake ili uweze kumjulia khali ya mahusiano yake mabovu na basha mwenye mambo ya kizamani?

Je hudhani kama wewe ndiye mwokozi pekee wa bint mrembo aliyenasa kwenye penzi la basha mpuuzi asiyestahili kuwa naye .... Au ulitaka yeye bint akuombe namba?

Je huna hisia kuwa umekuwa mzee/ aka domo zege such that bint anakuambia simama mpaka asome heading zote...huoni kama ulikuwa unakaribishwa uzidi kufahamiana naye vizuri?

Je huoni kama kitendo cha kumuacha mama na watoto wanaogelea na wewe kwenda kukaa kaunta kulikutia katika vishawishi na ni muda muafaka wa kuwa unaogelea na mama au usiende kabisa hukoo usijeingia majaribuni?

Jibu maswali haya ya awali then jiandae kwa multipo choisi kweshensi.

Hahahaha jf raha kweli lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom