- Thread starter
- #21
Nakuunga mkoo aisee yaani mabosi wangekua wanajua nini kinaendelea kwenye hizi laptop zao maofisini wengi kazi kwishney...maaana mimi asubuhi lazima nalogin alafu naminimize naenda kuchukua kikombe cha kahawa alafu na maxmize nasoma kidogo alafu na minimize alafu ndo naanza kazi za ofisi... hahahahhha balaa hili. JF forever babe..!!Hahahaha jf raha kweli lol