Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,832
Unaposena Kila kitu kitapanda bei...
Muuzaji unamjengea mtazamo wa kupandisha bidhaa bei kiholela....hii inamuumiza mnunuzi au mfuata huduma!
Unaposema hata Marekani umeme hukatikakatika....
Unamuandaa mtoa huduma ya umeme (Tanesco) asione haja ya kufanya Kila liwezekanalo kuepuka umeme usikatike maana yake unaruhusu uzembe na kutokujali, na kutowajibika kwa Tanesco kwa wateja wao (watz)!
Niishie hapa kwa Sasa!
Muuzaji unamjengea mtazamo wa kupandisha bidhaa bei kiholela....hii inamuumiza mnunuzi au mfuata huduma!
Unaposema hata Marekani umeme hukatikakatika....
Unamuandaa mtoa huduma ya umeme (Tanesco) asione haja ya kufanya Kila liwezekanalo kuepuka umeme usikatike maana yake unaruhusu uzembe na kutokujali, na kutowajibika kwa Tanesco kwa wateja wao (watz)!
Niishie hapa kwa Sasa!