Unapotafuta chumba ni vitu gani huwa unazingatia?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Jan 1, 2017
20,714
45,099
Wale team wapangaji karibuni kwa mjadala. Hivi unapotafuta chumba cha kupanga ni mambo yapi ya msingi huwa unayazingatia?
 
1: Naangalia kwanza kama kina mlango na madirisha.

2: Majirani wanatakiwa wawe wa kike na umri kuanzia 20-29.

3: Wasiwepo watoto wadogo wengi, wanyama wa kufungwa kama bata, kuku, paka na wengineo kama hao.

4: Mwenye nyumba awe na nidhamu pale ninapoongea naye.

5: Kiwe karibu na hospitali au kituo cha polisi.
 
1. CHOO na Maji

2. Ukubwa wa Chumba na Hali ya Milango na Madirisha.

3. Umeme uwe wa Kujitegemea. Narudia. UMEME uwe wa Kujitegemeaaaaa sina Hamu na umeme wa kushare.

4. Idadi ya wapangaji.

5. Umbali kutoka stendi, barabara na madukani, na Kutoka mahala ninapopiga Mishe.
 
1: Naangalia kwanza kama kina mlango na madirisha.

2: Majirani wanatakiwa wawe wa kike na umri kuanzia 20-29.

3: Wasiwepo watoto wadogo wengi, wanyama wa kufungwa kama bata, kuku, paka na wengineo kama hao.

4: Mwenye nyumba awe na nidhamu pale ninapoongea naye.

5: Kiwe karibu na hospitali au kituo cha polisi.
No 5 balaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Eneo husika
- Hapa nazungumzia mtaa/Street .Kuna mitaa ya uswahilini hata kama kuna Nyumba/Chumba cha kueleweka siwezi panga.

2.Geographia ya eneo husika.
-Kuna sehemu unaweza panga ukajikuta mvua kila ikinyesha basi nyumba inabadilika kuwa boti

3.Aina ya wapangaji/Mwenye nyumba.

4.Eneo Lenye uwazi,Mfano sehemu ya parking kama una Usafiri wako.
-Kuna mitaa unaweza uka na gari lakini ukakosa sehemu ya kupark.

5.Ukubwa na Chumba na Madirisha.

6.Lazima Viwe self Contained.
- Sipendi kupelekeshwa na Kupangiwa zamu ya kufanya usafi chooni na Bafuni.
Mf "Mr Lawhealer leo zamu yako chooni
...Ukicheki time ni 6:00Am. nk.

.....Subiri mawazo ya Wengine.Stay tuned.
 
1: Naangalia kwanza kama kina mlango na madirisha.

2: Majirani wanatakiwa wawe wa kike na umri kuanzia 20-29.

3: Wasiwepo watoto wadogo wengi, wanyama wa kufungwa kama bata, kuku, paka na wengineo kama hao.

4: Mwenye nyumba awe na nidhamu pale ninapoongea naye.

5: Kiwe karibu na hospitali au kituo cha polisi.
Mpangaji ndiyo hutakiwa awe na nidhamu.
 
Me ntazingatia hv
1) Eneo ntakaloenda kupanga lisiwe uswahilini
2) nyumba/chumba lazima kiwe Cha kisasa (including maji yawepo hapo hapo,peving ,gypsum, aluminum windows, ceiling fan good decorations, enough space so as to be comfortable)
3) kutoka barabara kuu mpaka ntakapokua nakaa pawe pakutembeleka( kwa kipindi hiki ambacho bado Sina usafiri
4) huduma za kijamii zisiwe mbali na nnapokaa
5) mazingira ya nyumba kwa ujumla yawe masafi Sana
6) Kodi ya nyumba iendane na aina ya nyumba /chumba/Eneo .....husika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Eneo husika
- Hapa nazungumzia mtaa/Street .Kuna mitaa ya uswahilini hata kama kuna Nyumba/Chumba cha kueleweka siwezi panga.

2.Geographia ya eneo husika.
-Kuna sehemu unaweza panga ukajikuta mvua kila ikinyesha basi nyumba inabadilika kuwa boti

3.Aina ya wapangaji/Mwenye nyumba.

4.Eneo Lenye uwazi,Mfano sehemu ya parking kama una Usafiri wako.
-Kuna mitaa unaweza uka na gari lakini ukakosa sehemu ya kupark.

5.Ukubwa na Chumba na Madirisha.

6.Lazima Viwe self Contained.
- Sipendi kupelekeshwa na Kupangiwa zamu ya kufanya usafi chooni na Bafuni.
Mf "Mr Lawhealer leo zamu yako chooni
...Ukicheki time ni 6:00Am. nk.

.....Subiri mawazo ya Wengine.Stay tuned.
7. Nyumba iliyo kidogo nje ya mji bora zaidi (Je kwanini iwe nje ya mji?- hakuna msongamano, hewa safi, kuna utulivu)
 
1. Nyumba iwe inajitegemea kwa kila kitu. Umeme wangu mwenyewe, maji yangu mwenyewe. Yaani niwe mpangaji peke yangu kwenye hiyo nyumba.
Zikiwa nyumba zaidi ya moja kwenye compund sio mbaya ila ni vyema zaidi iwe the only house ndani ya fence.

2. Pawe rahisi kufikika na sio mbali na barabara au sehemu yangu ya kazi

3. Pasiwe uswahilini, pawe sehemu yenye hadhi, standard.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom