Doctor Stranger
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,202
- 6,143
Kinacho nitia moyo ni BIBLIA. yesu alisema msiogope lazaro hajafa amelala.. japo kua kabla ya kusema maneno hayo yesu alilia kwa uchungu baada ya kuona watu wanavyo huzunika mtu anapo kufa. hiyo inaonesha hata yesu anachukia kifo na hapendi binadamu wanapo kufa.. lakini kwakua tupo katika utawala wa shetani hakuna budi.Mungu atabaki kuwa Mungu, kifo kipo kila siku lakini kifo hakizoeleki, kifo kisikie kwa jirani.