johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,419
- 142,661
- Thread starter
- #21
Ndio mkamtengenezea?Aliyevamia hoteli ya Mbowe na gari zenye namba feki za umoja wa mataifa alikua ni nani...
Ndio mkamtengenezea?Aliyevamia hoteli ya Mbowe na gari zenye namba feki za umoja wa mataifa alikua ni nani...
Naona unajihami,kama ulishirikiana nae jiandae kisaikolojia.Jana nilishtuka baada ya kumsikia aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai na Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama wa eneo hilo akidai kuwa kesi yake ya Uhujumu uchumi ni ya "Kutengeneza"...
Swala hapa ni Je mahakamani kuna kesi za Kutengeneza?Naona unajihami,kama ulishirikiana nae jiandae kisaikolojia.
Kama na yeye aliwatengenezea wenzake ngoja nae atengenezewe afu ale mvua za kutosha ndio mtapata akili.
Hata shetani ana watetezi.
Kwahiyo ni halali mtu yoyote kutengenezewa kesi?!Ye mwenyewe mbona aliwatengenezea wengi mikesi...
Muosha huowoshwa
Mchimba kaburi kaingia mwenyewe shimoni
Hiyo kawaida tu hutokea kwenye mifumo ya kiutawala,
Atulie tu akomae tu na kesi yake
Ova
Kwani kila anaetumia hayo maneno kujitetea yanakuwa kweli?Swala hapa ni Je mahakamani kuna kesi za Kutengeneza?
Hapa namzungumzia Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mstaafu!Kwani kila anaetumia hayo maneno kujitetea yanakuwa kweli?
Jiandaeni kisaikolojia.
Ndio wananchi tunataka viongozi wa kariba ya kina mtaka. Ndio walioelimika kwa manufaa ya jamii...Sio kina makonda, sabaya ambao hawajui jamii ilihitaji nini toka utumishi wao.N vile hakuna wa kumsemea bwana ole sabaya
Angekuwa mpinzan angepata wa kumsemea...
Alifukuzwa hajawahi staafu,pili kwani ukiwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzinna usalama tena wa Wilaya tuu ndio niniHapa namzungumzia Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mstaafu!
DC anajua mipango yote ndio sababu magaidi walipanga kumuuwa!Alifukuzwa hajawahi staafu,pili kwani ukiwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzinna usalama tena wa Wilaya tuu ndio nini
Siyo halali.....Kwahiyo ni halali mtu yoyote kutengenezewa kesi?!
Nimeamka Muroto alipostaafu!
Mbowe ndio alimteua Sabaya kuwa DC?Ndio mkamtengenezea?
Kwanini unamtaja Mbowe?Mbowe ndio alimteua Sabaya kuwa DC?
Mbowe anaweza kutoa amri ya kijeshi?
Kama yeye alikuwa bingwa wa kuchonga kesi unatarajia nini?Jana nilishtuka baada ya kumsikia aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai na Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama wa eneo hilo akidai kuwa kesi yake ya Uhujumu uchumi ni ya "Kutengeneza"
Nabaki najiuliza kumbe kuna kesi halisi na kesi za Kutengeneza?
Kwa wadhifa aliokuwa nao Ole Sabaya serikalini najikuta nalazimika kumuamini.
Kama Ole Sabaya anaweza kutengenezewa kesi inakuwaje kwa wapinzani kama akina Freeman, Sugu na hata yule Dude wa Songwe?
Dunia inaenda kasi sana kuelekea mwisho wake.
Maendeleo hayana vyama!
Nani kamtengenezea kesi??Matendo yake ndio yamesababisha atengenezewe kesi?