sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Hasiyesikia na asikie habari hii!
Baada ya Mwenyekiti wa ccm Tanzania kubaini yakuwa team aliyoiteua imsaidie kujenga ccm imefeli Sasa amekuna mawazo ya kuunda team mpya!
Hizi ni za chini chini ila inasemekana ni za kweli kabisa ambapoooo!
Ndugu yetu Albeth Bashite A.K.A Paulo Christiani Makonda anaukwaa ukatibu Mkuu wa Chama Cha mapinduzi Ccm
Ally Salumu Happy mkulima wa pili pili ohooo pamoja na nyanya anaukwaa Ukatibu Uenezu wa chama Cha Mapinduzi.
Baada ya hapo
Yule ndugu yetu aliyewai shitakiwa Kwa kujifanya Usalama wa Taifa alafu kesi hatujui iliishaje?(yaani ni kweli au sio kweli yakuwa ni Usalama wa Taifa)
Yaaaani yule bwana Mkuu wa Wilaya wa kwanza aliyeshitakiwa Kwa makosa ya matumizi mabaya ya madaraka na kukaa kisongo muda wa Zaid ya mwaka na baadae akaonewa huruma baada ya kuota nundu kichongoni
Huyuuuu siiiiiiii mwingine ni kijana makini wa kimasai yaaaani OLE Sabaya anaukwaaaaaaaa
Umakamu Mwenyekiti Tanzania Bara
Swali chokonozi
Kwa Nini kinana amepoa nyakati za Samia?lazima tukubaliane Nape na Makamba na kinana walibebana na kuuzana.
Je hiii Team inayosemekana kuundwa inauzika?
Je chongolo anauzika?
Sofia Huyu hauziki kabisaaaa!
Karbuni Kwa maoni ila hizi za chini chini msizizalau!
Baada ya Mwenyekiti wa ccm Tanzania kubaini yakuwa team aliyoiteua imsaidie kujenga ccm imefeli Sasa amekuna mawazo ya kuunda team mpya!
Hizi ni za chini chini ila inasemekana ni za kweli kabisa ambapoooo!
Ndugu yetu Albeth Bashite A.K.A Paulo Christiani Makonda anaukwaa ukatibu Mkuu wa Chama Cha mapinduzi Ccm
Ally Salumu Happy mkulima wa pili pili ohooo pamoja na nyanya anaukwaa Ukatibu Uenezu wa chama Cha Mapinduzi.
Baada ya hapo
Yule ndugu yetu aliyewai shitakiwa Kwa kujifanya Usalama wa Taifa alafu kesi hatujui iliishaje?(yaani ni kweli au sio kweli yakuwa ni Usalama wa Taifa)
Yaaaani yule bwana Mkuu wa Wilaya wa kwanza aliyeshitakiwa Kwa makosa ya matumizi mabaya ya madaraka na kukaa kisongo muda wa Zaid ya mwaka na baadae akaonewa huruma baada ya kuota nundu kichongoni
Huyuuuu siiiiiiii mwingine ni kijana makini wa kimasai yaaaani OLE Sabaya anaukwaaaaaaaa
Umakamu Mwenyekiti Tanzania Bara
Swali chokonozi
Kwa Nini kinana amepoa nyakati za Samia?lazima tukubaliane Nape na Makamba na kinana walibebana na kuuzana.
Je hiii Team inayosemekana kuundwa inauzika?
Je chongolo anauzika?
Sofia Huyu hauziki kabisaaaa!
Karbuni Kwa maoni ila hizi za chini chini msizizalau!