Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,596
- 45,225
Hee,si babe wako lakini....Hilo la shu....
Hee,si babe wako lakini....Hilo la shu....
Mkuu ukiingia Play store,kuna App nyingi tu,ila unaweza ukaitumia Vault naona ni nzuri,maana ina premium features, unaweza ukaihide kwenye app zako kwenye simu isionekane, we unakua unaingia kwa password!Nifundishe hayo maujanja mkuu
Kufufua kisukari kilipolala
Wanataka kukufwa kila mtu abaki na simu yake tu
MmhWanataka kukufwa kila mtu abaki na simu yake tu
Ndio aichakule simu yangu...mimi mbona sishiki simu yakeHee,si babe wako lakini....
Wanatafuta ndengezari "Lawama" mkuuHata mm najiuliza sijui huwa wanatafuta nini wakati sehemu za siri kila mtu ana zake na anazunguka nazo atakavyo yeye.
Presha tupuWanataka kukufwa kila mtu abaki na simu yake tu
Na presha mkuuKufufua kisukari kilipolala
Hapo sawa mkuuMkuu ukiingia Play store,kuna App nyingi tu,ila unaweza ukaitumia Vault naona ni nzuri,maana ina premium features, unaweza ukaihide kwenye app zako kwenye simu isionekane, we unakua unaingia kwa password!
Simu korofi,msg,picha,unazitupia huko,
Ndio fresh kamanda wanguMimi kwny simu yangu huwa naficha picha na video mbaya tu ili mwanangu asione zaidi ya hapo sina kingine cha kuficha
Noma sana
Vipi mkuu
Niambie wangu