Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,016
- 9,885
Mtu labda ulikuwa zako kwenye usafiri wa umma, ukaibiwa simu yako. Au hata nyumbani kwako watu wamevunja dirisha wamebeba simu.
Unakuta mtu yuko busy kujipigia, huwa mnataka kumwambia nini mwizi?
Unakuta mtu yuko busy kujipigia, huwa mnataka kumwambia nini mwizi?