Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,712
???????
Kabsa wanataka kuzinywea supu hahahaWanaopakua labda wanataka kuila...
Kosea vyote usikosee heading
Wanaopakua labda wanataka kuila...
Kosea vyote usikosee heading
Hahah!! Wewe jamaa vipi kwanza uko poa?
Uchokozi tuKutaka tu kufa kwa presha
Wanaopakua labda wanataka kuila...
Kosea vyote usikosee heading
Kabsa wanataka kuzinywea supu hahaha
Mkuu punguza haraka aisee
Hatari sana!..
Hahah!!
Si unaona mkuu ndicho wanachokitafutaKuna siku alipakuaga sim yangu, alipo maliza tu kwanza nikamuona anaelekea chooni, kumbe alishikwa na tumbo la kuhara baada ya kuyaona ambayo hakuyatarajia....
Kilicho fuata baada ya hapo, alinivizia siku nimekula K-Vaa kubwa chakari..... Alinipea kichapo kwa kutumia mwiko yani Dahhh...
Kwanza nilimtandika likizo aende kwao kwa siku zisizo julikana, na huku nikabaki namkula polepole yule alie sababisha nipewe kichapo..... tehteehhhSi unaona mkuu ndicho wanachokitafuta
Hao sasa na wewe ungemgeuzia kibao
Urudishe mashamburizi si lingekuwa balaa kubwa
Hahaha,Wanaopakua labda wanataka kuila...
Kosea vyote usikosee heading
Mdomo wangu umebaki wazi. AkhiiiiiKuna siku alipakuaga sim yangu, alipo maliza tu kwanza nikamuona anaelekea chooni, kumbe alishikwa na tumbo la kuhara baada ya kuyaona ambayo hakuyatarajia....
Kilicho fuata baada ya hapo, alinivizia siku nimekula K-Vaa kubwa chakari..... Alinipea kichapo kwa kutumia mwiko yani Dahhh...