Unapohisi umemchoka mpenzi wako.

According to facebook status updates, break ups happen mostly around spring breaks and the months leading up to Christmas.

chart-of-the-day-facebook-status-updates-2010.jpg

Hiyo two weeks before xmass na xmass day balaa!

did they disaggregate data by sex?
 
Salamu kwenu wadau wote wa stress-free forum (mmu),
kuna kipindi huwa tunahisi kuwachoka wake/waume au wapenzi wetu.
Inasemekana kuwa katika kila mwaka lazima uexperience hiyo hali lakini huwa haidumu muda mrefu.
Katika hicho kipindi mpenzi wako hata afanye jambo zuri huwa unahisi anakuboa yaani humfurahii na ni kipindi hicho ambacho uhusiano ni rahisi kuvunjika iwapo mmoja hatakuwa imara kuusimamia na mara nyingi kipindi hicho mpango wa kando hutafutwa.
Nafikiri wadau wote humu tushawahi kuwa na wapenzi/tunao/tumeoa au tumeolewa.
Naombeni mawazo yenu hapo.
Je ulipohisi kumchoka mpenzi wako ulifanya?

Natafuta spare, nipo tayari kuifata mpaka KGM from Dar. Nikikosa, ngunga mtindo mmoja.
 
Mi humwambia,kuliko kumnunia mtu bila sababu....mi husema tu kwa nia nzuri i need some space at least for a week.....na wanaume i guess ni waelewa ukiwa muwazi,husema tu i understand and can i be of help? unamwambia unafikiri nini kitakurudisha katika mood....na atakuwa more than willing kukusaidia urudie hali yako......inatokea kwa kila mmoja wetu,haina haja ya kuwa siri!!!
 
Mi humwambia,kuliko kumnunia mtu bila sababu....mi husema tu kwa nia nzuri i need some space at least for a week.....na wanaume i guess ni waelewa ukiwa muwazi,husema tu i understand and can i be of help? unamwambia unafikiri nini kitakurudisha katika mood....na atakuwa more than willing kukusaidia urudie hali yako......inatokea kwa kila mmoja wetu,haina haja ya kuwa siri!!!
Ndivyo inavyotakiwa
 
Tatizo kuna baadhi ya akina dada wakiwa kwenye hali hii basi ata kukutaarifu ukeep distance hawakutaarifu, ukiassume wanahitaji space na kuwapa wanakuja na 'hujali feelings zangu'.

Solution hapa ni communication mkicommunicate vizuri basi hii phase mtakuwa mnaipita bila tatizo swala lingine ni fellas take your wife/gf out on a date occassionally, msurprise mara moja moja na vitrip vya hapa na pale, zawadi, mfuate kazini wakati wa lunch au muandalie breakfast/lunch weekend moja. Wanadada wengi wanapenda tuvitu tudogo tudogo ambavyo wanaume wengi tunavidharau.
 
HAPANA, sio kuuchuna tu kama suluhisho la kwanza. Katika hali hiyo anayekuwa ameuchuna ni huyo aliye katika "Mood mbaya". Ninamaanisha kuwa kimya nacho kinaashiria mengi na pengine ni salama kuliko kusema. Pengine mtu ana tafrani zake, unamwuliza anakwambia "sio kitu", "sina hamu ya kuzungumza", "huishi maswali" n.k. Ikitokea hivyo, kaa kimya, mwangalie kwa upendo wenye ishara ya huzuni, jifanye kuwa wewe ni "victim" wa hali yake, au hali yake inakuumiza pia na uko tayari kusaidia au kusuluhisha. Hapa ndipo kimya kinaposema; pengine anaweza kuyaona yake madogo na kutaka kujua kulikoni.

Hiyo ni pale mwenzako anapokuwa katika mood mbaya, inapotokea kuwa wewe ndiye uliye katika hali hiyo, jaribu kutokuwa "antipathetic", kubali kuulizwa, jibu vizuri, fanya vyovyote vile ili tafrani zako zisije kumwambukiza mwenzako. Lakini kama nilivyosema, kila mtu ni peke yake. Jaribu kuisoma hali na kusaidia pale palipo na mashaka.
 
Husninyo mimi hii khali naiona kabisa hv kumbe huu upepo hua unapita dah kweli inachanganya kweli ucpokua makini kweli mahucano ndo yanaishia hapo.kweli maisha ya mahusiano ni safari ndefu isiyo na mwisho.

usichanganyikiwe kokudo, jf ishatufundisha tuwe wavumilivu.
 
ni hali ya kawaida katika maisha ya ndoa. ila watalaam wanashauri ni kipindi ambacho wewe unayetokewa na hali hiyo unatakiwa kuwa na tahadhari kwa kila unachosema na kutenda pia kama kuna loophole ya kusafiri basi fanya hivyo ila usifanye kosa la kutafuta vidumu kwa kipindi hicho hiyo itakusababishia hatari kubwa kwenye ndoa(mahusiano) yako maana utampa nafasi kubwa sana huyo wa pembeni akatake off
 
Hapo kuna kitu umekiongea nadhani watu hawajakiona au hawajanyambua hiyo spring season.Naona kama kuna ukweli kidogo

what might be the reason?

Before even asking what might be a reason we need to analyse the accuracy of the data provided by Facebook.

According to the video below, the graph is based on the incidence of the terms "break up" or "broken up" in Facebook status updates, not changing relationship statuses. That is significant, because as the presenter points out, the first peak is during spring "break." Simply having the term "break" in there would raise the incidence of the phrase "break up." For instance, "I spent Spring Break up at Loliondo." There's "break up." Same could contribute to Christmas. ("I'm spending Christmas break up with my family in Loliondo.").

Also, the peak weeks before Christmas and spring break may be caused by when kids "break up" from schools for holidays? These phrases have other contexts too which could be a factor in these results.


Start from the six minute when he explain about the Facebook break up graph



On the other hand, when you're debating whether to end a bad relationship, seeing the new availability of a lust object might inspire you to make yourself single. Similarly, someone who is truly dreading having to discuss a breakup can just change their relationship status on Facebook, which we all know does a number on the other person's feelings.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom